Mkuu kwa maelezo yako hata Humud aliwahi kumzibiti Yaya toure taifa stars ilivyocheza na Ivory coast,Sasa Itakuwa mahakama hii,,, anyway machache katika mengi kuna wakati ilikuja timu ya taifa ya Ghana The Black Stars kucheza na taifa stars miaka ya 90 huko.... Hussein Aman Masha alikuwa ni kiungo wa kati siku hiyo....aliwadhibiti na kuwakimbiza nyota wa Ghana waliokuwa wakicheza huko ulaya..... mwishoni mwa gem .....wale jamaa waliuliza Masha anacheza timu gani huko ulaya??...wakidhani anakipiga majuu kwa kiwango alichoonyesha.....walipoambiwa anakipiga humu humu ndani,Simba Sport Club ....jamaa walichoka..
Tatizo soka la kibongo halina proper records lipo kwenye story kutoka kwa watu walioona kama kina sisiMkuu kwa maelezo yako hata Humud aliwahi kumzibiti Yaya toure taifa stars ilivyocheza na Ivory coast,
Hizi story hazionyeshi records zozote
Wanyama nafasi anayocheza inamcost
Hakuna ubishi yeye ndiye GOAT wa Tanzania kma sio ukanda wa Africa mashariki
Ni kweli kwa kigezo cha mafanikio nje ya nchi ni Samata, ila Kwa kujituma uwanjani na burudani ni Lunyamila.Kwa mafanikio yes you maybe right..
Lakini kwa burudani ya soka uwanjani, aisee hapana...
Hakuna ambaye anakimbia hela,hata hiyo Zamani mnayoizungumzia kma wangekidhi vigezo wangechukuliwa tu wakacheze majuu,yaani mtu aende Uarabuni akimbie EPL ,UjerumaniKwa mafanikio Mbwana Sammata anaweza kuongoza ila kwa vipaji tulikuwa navyo vingi ila ama milango ilikuwa haijafunguka kama sasa au upeo wa wachezaji ulikuwa mdogo wachezaji wetu wengi wa zamani walikuwa wanakimbilia uarabuni kwa wachezaji kama Mogella,Ramadhani lenny, Hamisi Gaga, husein Marsha kwa uchache walikuwa na uwezo mkubwa mtu kama gaga alikuwa anakimbia wajerumani wanataka akacheze ligi yao ila Mbwana alipata mwongozo mzuri wa baba yake ndio maana kafika hapo alipo
Burudani ndo nini wewe.... tuna angalia mafanikioKwa mafanikio yes you maybe right..
Lakini kwa burudani ya soka uwanjani, aisee hapana...
Mbwana Samatta hajayafikia mafanikio ya kina Tenga na hata mafanikio ya kina Nsajigwa na kundi lake.
Ukweli uko hapa.
Kina Tenga na wenzake walicheza fainali za AFCON.
Kina Nsajigwa na wenzake walicheza fainali za CHAN na kubeba kombe la challenge
Huyu Samatta na wenzake hawajaleta hata kikombe cha chai
Usilinganishe watoto na wanaume.
Boban kacheza UEFA champions League ujue lakini tayari ana silver wear ya kombe la challenge unamlinganisha vipi na Mbwana Samatta ambaye hajafikia hivyo vitu
Uefa gani kacheza boban mkuu?
Mbona ume tumia kigezo cha taifa stars tu
Kufananisha mchezaji tunatumia individual achievement mzee babKama ambavyo nyinyi mnatumia vigezo vya ligi tu