n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Nawe unaamini mlango wa ndege ulivunjwa kwa kasia right?. C'mon man.Asante sana kwa hiki kifungu, maana naona sasa wafanyakazi wa Jeshi la uokoaji baada ya kunangwa sasa wanataka Majaliwa aonekane si chochote.
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote. [emoji848][emoji2827][emoji1545]Mhubiri 9:11 (September Eleven)
[11]Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
I returned, and saw under the sun, that the race is not to the swift, nor the battle to the strong, neither yet bread to the wise, nor yet riches to men of understanding, nor yet favour to men of skill; but time and chance happeneth to them all.
Ni suala la muda tu, ukweli una tabia ya kujifunua wenyewe!!!! Akili shikizi.[emoji1545][emoji1752][emoji818]Babu wa Samunge!! Taifa likiwa limeelewa na mgao wa umeme, anatokea shujaa mmoja aliyepewa maono kupitia ndoto anatibu magonjwa viongozi wote wa serikali wanakiri kwenye vyombo vya habari ni kweli hiyo dawa ipo na inaponya. Matokeo tunayo kwa waliokunywa kikombe na ambao hawakunywa,waliopona na ambao hawakupona. Ni suala la muda tu, ukweli una tabia ya kujifunua wenyewe!!!! Akili shikizi.
Ndege ilidondoka hivo some part Zina break apartMimi kuna muda huwa najiuliza swali moja tu, hivi kuna uwezekano gani kasia kuvunja mlango wa ndege, katika utengenezaji wa ndege wapo makini zaidi katika usalama wa vijaa vyake, leo iwe rahisi tu mtu avunje mlango tena sio kwa kitu kizito bali wa kasia. Hapa ndio napopata mashaka, emergency door ulifunguliwe na mhudumu wa ndani na kuokoa hawa 24.
Jamaa ana bahati tuNikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote. [emoji848][emoji2827][emoji1545]
Sijakuambia ninaamini, nimesema vyovyote iwavyo ni bahati ya Majaliwa kuitwa Bungeni, kuonekana shujaa, maisha yanaendelea......Nawe unaamini mlango wa ndege ulivunjwa kwa kasia right?. C'mon man.
Katikati ya taharuki hakuna aliyehoji ni nani walimwokoa Majaliwa aliyezirai na kukimbizwa hospital.
Hili ndio neno tunatakiwa tuliongee zaidi ni "BAHATI TU"Jamaa ana bahati tu
Akili shikiziSijakuambia ninaamini, nimesema vyovyote iwavyo ni bahati ya Majaliwa kuitwa Bungeni, kuonekana shujaa, maisha yanaendelea......
Asante.......NI BAHATI YAKE, hakuna kitu mutafanya kubadilisha, kama ambavyo wengine wamekufa na wengine wamepona, Mungu ndio hupanga yote, ninaamini hivyo siku zote.Akili shikizi
Km sio mtu wa ndani au hujawahi kufanya kazi za ndani huwezi kuelewa Mission km hizo,Jamaa ana bahati tu
hahahaha,umenifurahisha sana kuona hiliPunguza kujifanya unajua kila kitu,unakopi thd za JF kuhusu hii issue,unaziunganisha kisha unaanzisha Thd kwa ID yako! huu ni zaidi ya ujinga aisee.