Mjadala mpya: Ni nani aliwaokoa abiria 24 wa ndege ya Precision Air?

Mjadala mpya: Ni nani aliwaokoa abiria 24 wa ndege ya Precision Air?

Tumeshawahoji tumeongea nao wametueleza kilichotokea ndio maana jamii inahoji
Mshana shauri yako... uliona alivyo tulia Bungeni.. nimepanda ndege mara kadhaa.... kweli hii kali... ene wei.. tukiwa wadogo 79's mwamba mmoja alitokea vita ya kagera akatukusanya shule zote za msingi za Kata, akatuelezea jinsi yeye mwenyewe bila msaada wa mtu aliangusha ndege vita 2 za uganda, na fimbo aliyokuwa nayo mkononi akatuhakikishia ni fimbo aliyokuw anatumia IDDI Amin sister.. tuliamini (enzi bila mawasiliano), Kagera hiyo hiyo (tetemeko halikutumwa na serikali) Kagera hiyo hiyo Kasia limegeuka ufunguo wa mlango wa ATR 42.. Kagera Land of fire...
 
Mshana shauri yako... uliona alivyo tulia Bungeni.. nimepanda ndege mara kadhaa.... kweli hii kali... ene wei.. tukiwa wadogo 79's mwamba mmoja alitokea vita ya kagera akatukusanya shule zote za msingi za Kata, akatuelezea jinsi yeye mwenyewe bila msaada wa mtu aliangusha ndege vita 2 za uganda, na fimbo aliyokuwa nayo mkononi akatuhakikishia ni fimbo aliyokuw anatumia IDDI Amin sister.. tuliamini (enzi bila mawasiliano), Kagera hiyo hiyo (tetemeko halikutumwa na serikali) Kagera hiyo hiyo Kasia limegeuka ufunguo wa mlango wa ATR 42.. Kagera Land of fire...
giphy.gif
 
Maneno yamekuwa mengi toka Majaliwa alivyotangazwa kufanikisha kuwaokoa abiria 24 kwenye ajali ya @PrecisionAirTz,wapo wanaosema waliowaokoa ni wahudumu wa ndege,wavuvi wengine wamedai nao waliwaokoa kwanini aonekane Majaliwa tu? Wengine wanahoji kwanini Majaliwa analindwa?
20221115_094246.jpg
 
Maneno yamekuwa mengi toka Majaliwa alivyotangazwa kufanikisha kuwaokoa abiria 24 kwenye ajali ya @PrecisionAirTz,wapo wanaosema waliowaokoa ni wahudumu wa ndege,wavuvi wengine wamedai nao waliwaokoa kwanini aonekane Majaliwa tu? Wengine wanahoji kwanini Majaliwa analindwa?View attachment 2417234
Ok Marekani kuna- NTSB, Ufaransa wana -La Direction de l'Aviation Civile, naona waje wachue nakale kaji-box keusi, wamalize hii kesi..
 
Ok Marekani kuna- NTSB, Ufaransa wana -La Direction de l'Aviation Civile, naona waje wachue nakale kaji-box keusi, wamalize hii kesi..
Thanks [emoji1545][emoji1752]
 
Kwahiyo dogo katumika kama political mileage kwa hawa panya wa ccm kuna uwezekano mkubwa akiwa hukohuko JKT wakamtema
 
Namuombea sana ila nina hofu yasije kumkuta kama ualiyowakuta kina Piere liquid
Naamini huyu hatokuwa kama Liquid kwa sababu atakuwa trained ili afanye kazi zake kwa ufanisi. Pia tumuombee na kumtakia mema bila kusahau tuiombee serikali yetu iwe makini katika idara zake kwa lengo la kuepuka kuwapandisha juu wasiostahili (Kama wapo)
 
Naamini huyu hatokuwa kama Liquid kwa sababu atakuwa trained ili afanye kazi zake kwa ufanisi. Pia tumuombee na kumtakia mema bila kusahau tuiombee serikali yetu iwe makini katika idara zake kwa lengo la kuepuka kuwapandisha juu wasiostahili (Kama wapo)
Tumuombee sana asije akawekwa ghalani
 
Huyu Kijana tena Wajina wangu Majaliwa Jackson ni Shujaa kweli na lazima tumpe Asante kwani Yeye ndiyo alienda ilipo Ndege na kwa Kutumia Makasia aliyokuwa nayo akafungua Mlango wa Ndege na peke yake Kuokoa Abiria wote" Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa.
Super Man
 
Tukio la kwanza ni MWOKOZI MAJALIWA. Huyu ni mvuvi anayesemekana ndio alifungua mlango wa ndege kwa kasia lake na kuingia ndani na kuanza kuokoa abiria waliokwama katikati ya taharuki ya ajali hakuna waliojishughulisha kuhoji uwezo wa kasia kuweza kufungua mlango wa ndege.
1668683029620.png
 
naomba kufaham hao mabinti wawili walifanikiwa kuwa hai na wako wapi kama wako hai?
 
Nina uhakika Majaliwa hakufanya uokozi peke yake, walikuwepo wengine na bila shaka walifanya kazi kubwa, ila tujue jambo moja dhahiri ni kwamba kila mtu ana bahati yake hapa duniani, Mungu ndio hupanga yote, muacheni kijana apate sifa anayopata, hata Nyerere hakutafuta Uhuru peke yake, na bado tunamuita Baba wa Taifa.
Wiseman
Ndivyo inavyokua siku Zote.
 
Hili tukio la huyu mtoto kusakamwa litafanya ajali zingine waokoaji wabaki kuangalia na kurekodi kwa simu zao tu maana kuna post nyingine wameishia kumtukana mtoto wa watu kumwita wa mchongo mara tapeli. Yani mtu nusura apoteze maisha kuokoa ila leo anakua kituko.
Watanzania tuna husuda sana
Kelele zote hizi ni sababu ya umaarufu alioupata
Lau angekufa katika harakati za uokoaji Sidhani kama mijadala hii ingetamalaki
Na hapa ndipo tunapojidhihirisha sisi watu weusi ni wa namna gani, kuanzia juu mpaka chini
 
Watanzania tuna husuda sana
Kelele zote hizi ni sababu ya umaarufu alioupata
Lau angekufa katika harakati za uokoaji Sidhani kama mijadala hii ingetamalaki
Na hapa ndipo tunapojidhihirisha sisi watu weusi ni wa namna gani, kuanzia juu mpaka chini
Ndo maana nasema siombei ila ikitokea ya hivi bora mtu ajichukulie zake selfie tu arushe ushahidi. Maana mtoto wa watu amehatarisha maisha yake saizi wanamwita mchongo wa serikali. Very selfish Tanzanians
 
Ndo maana nasema siombei ila ikitokea ya hivi bora mtu ajichukulie zake selfie tu arushe ushahidi. Maana mtoto wa watu amehatarisha maisha yake saizi wanamwita mchongo wa serikali. Very selfish Tanzanians
It was the rear cabin crew member who unlocked the left passenger door. She was helped by a muscular passenger to push the door into the open position. It has been established from various interviews that it is this very passenger who held the door into the open position and managed to extricate most of the passengers from the wreckage. These surviving passengers including a child of 18 months as well as its mother were also saved in this way. Canoes and fishermen arrived after about 5 minutes and they transferred the survivors to their boats. 24 survivors including the two cabin crew were saved.
 
Back
Top Bottom