Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,735
- 8,541
Hii Kofia Majaliwa aliipata wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Kofia Majaliwa aliipata wapi?
Hajaelewa bandiko huyu.Nimesoma bandiko lako lote nashindwa kujua unakanusha nini kwa nilichoandika na pia umechagua kipengele kimoja tuu kati ya mambo mengi niliyoandika hapa
Kwamba Hadi sa hivi hakuna mtu aliyekiri kuokolewa na Majaliwa?Kwahiyo aliyesema ameokolewa na majaliwa ni nani au Majaliwa alisema mwenyewe amewaokoa watu?
Mkuu hii ni moja ya shuhuda inayoweza kutukonyeza wengi tufumbue machoKuna baaadhi watabisha[emoji2827]
Kwenye uzi wangu ni wapi nimemsakama au kumtukana?Hili tukio la huyu mtoto kusakamwa litafanya ajali zingine waokoaji wabaki kuangalia na kurekodi kwa simu zao tu maana kuna post nyingine wameishia kumtukana mtoto wa watu kumwita wa mchongo mara tapeli. Yani mtu nusura apoteze maisha kuokoa ila leo anakua kituko.
Huyu anaweza kuwa wa mchongo , Naingia kazini rasmi
Kafungua sio kuvutaSawasawa....huenda ulifunguka wenyewe kwa kishindo cha kupiga kwenye maji...Majaliwa kauvuta tu.
Na uzi ufungweKwa hayo ulizungumza nakanusha inaonyesha yakua huna uchambuzi sahihi juu ya hili..
CHAMBUZI MAKINI JUU YA AJALI YA NDEGE ZIWA VICTORIA MWANZA.
1: Huenda wengi wetu tulibaki na taharuki kubwa baada ya ajali kutokea.
2: Vyombo vingi vya habari vimechangia kutopata taarifa kwa usahihi kulingana na uwasilishwaji wa taarifa.
3: Tukumbuke Tanzania haijawahi kutokea ajali ya ndege yenye kubeba abiri wengi au ndege yenye ukubwa kama hiyo iliyoanguka.
4: Vyombo na vikosi vya uokozi kutofanya kazi kwa ufanisi na kutofika eneo husika kwa wakati.
5: Asilimia ya mashuhuda wa tukio walitokea eneo la kanda ya ziwa na baadae kuwa waokoaji na watoa msaada kwa wahanga wa ajali.
KWA NINI MAJALIWA ALIPASWA KUPONGEZWA NA SERIKALI.
Huyu kijana alijitoa kwa asilimia 100% kwenye swala zima la uokoaji na ukisikiliza baadhi ya mahojiano alifanyiwa na baadhi ya media’s utakundua sio yeye alifungua mlango ila alisaidiana na yule mhudumu wa ndege, Kwani inasemekana kuwa mhudumu alikua akihangaika kufanya kila jitihada kuufungua mlango ukaunamshinda ila baada ya majaliwa kufika na wenzake akasogea kwenye mlango na kuanza kusaidiana na mhudumu kwa kuelewana yule dada aliusuma kuja nje yeye majaliwa anauvuta baada ya kupata mwanya kidogo aliomba kasia kwa mwenzie na kuanza kuugonga ule mlango kisha kuupachua kwakua ulikua umejiloki kwa ndani ghafla kwenye hizo jitihada mlango ulifunguka na hapo ndipo shughuli ya uokozi wa abiria kutoka ndani ya ndege ilipo anza kwa kuwatoa na kuwaweka kwenye ngalawa na kuwavusha ng’ambo wakati huo hayo yanaendelea ilikua ni kundi la majaliwa likifanya hivyo pamoja na majaaliwa mwenyewe, Kilichompa credits ni baada ya kuzirahi kwenye tukio lkn kama sio hivyo angekuwa amebaki kama wenzie tu kwa walifanya shughuli ya uokoaji pamoja na ilipofika taarifa kwa PM ni kunakijana aliefanya kitendo cha ushujaa cha kuokoa abiria kwenye ndege iliyopata ajali na anafanana jina na yeye hicho kilichokua kigezo kikubwa cha Majaliwa kuendelea kupata credits nyingine nyingi kutoka kwa MH. WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA.
Na kwa yule dada mhudumu wa ndege kwa upande wake nadhani huwa tunafahamu kwamba kila kampuni inayokuaji huwa kuna zawadi na tuzo mbalimbali hutolewa kwa mfanyakazi au wafanyakazi bora kila mwaka pale kampuni inapokua ikifanya sherehe zake kwa kuongeza mwaka mwingine hivyo huyu dada yeye credits zake atapewa na kampuni anafanyia kazi na hata ikiwezekana bodi ya usimamizi wa safari za anga Tanzania kumtunuku TUZO kwa ujasiri aliufanya kwenye hilo tukio.
Sija quote kwenye uzi wako mkuu. Sijaona ulipo mtukana wala kumsakama. Nimewaongelea hao wanao comment generally. Wapo wanaokashfu tofauti na ulichoelezea wewe ndo nawajibu.Kwenye uzi wangu ni wapi nimemsakama au kumtukana?
Na waufutilie mbali kwani naona huyu ndugu Mshana Jr hajafanya research ya aina yoyote bali ni njozi alizo nazo ameziandika akidhani yupo sahihi juu ya maono yake kwenye siasa..Na uzi ufungwe
Word.Kikubwa kuna waliotoka salama ilo tunashukuru. Kila mmoja aliyeshiriki ata kusogeza mtumbwi akifanya jambo la maana.
Tusubiri ripoti ya ajali. Ila vifo vilivyotokea kwa wale watu 19 ni uzembe wa serikali ilo hatuwezi pindisha wala kubadili