Mjadala: Mwalimu kuvaa hivi Darasani ni sawa?

Mjadala: Mwalimu kuvaa hivi Darasani ni sawa?

Si sawa, ukiachilia mbali vishawishi kwa wanafunzi, kuna sehemu za mwili ambazo hazipendezi kuachwa wazi mbele za watu.
 
Kukemea UPUMBAVU hakuhitaji mjadala na mtu ukiona anahitaji mjadala katika swala la KIPUMBAVU maana yake nae ni MPUMBAVU,na neno MPUMBAVU siyo tusi wala kashfa..na wala haihitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu wala kujua english wala kujibaraguza kwa lugha ya kigeni...

Petero Mrefu; hebu jisikilizie katika sentenso yako hiyo kisha ujitathmini; usiogope wala kukwazika na hoja kinzani; ndio ilimu hiyo; unakakasika nini? una tatizo gani la kiakili kiasi kwamba hicho kivazi cha mwalimu kimekutesa kiasi hicho kiakili!? wewe kuona kajibwimbwi tu ka mdada darasani; ute uleeeee!; take control; idhibiti mihemuko yako; sio kila mtu yuko hivyo; you will end up in the red districts with tarts!! hakuna mada hapa wala hoja; mihemuko yako tu.
Tuonyeshe kwa vielelezo Dress code ya walimu ni ipi na ilielekezwa kwa tangazo namba ngapi la serikali na la mwaka gani? kukimbilia kusema ujinga na Upumbavu ni kuonyesha upeo mfupi wa kufikiri kwa hiyo ungetamani wale wote wenye mawazo tofauti na ya kwako wafe ili mradi wewe ushinde hoja dhaifu kama hii!! watu wenye akili zenye afya nzuri hawafanyi hivyo!
Sijasema kwamba kumuita mwenzio Mjinga au Mpumbavu ni tusi; la hasha lakini pia sio sifa!! katu humsifii mtu kwa kumuita mjinga au mpubavu! labda katika mila za kwenu sijuii; Tanganyika kubwa sana hii!

Lugha haina kujibaraguza ndugu yangu; ama unaimudu au huiwezi period! hilo halina mjadala; usione wivu kwa mtu kutumia lugha ya kiingereza! shule mpaka za kata na tuition mitaani ziko kibao! jukwaa hili halijaweka mipaka; kasome!
 
Petero Mrefu; hebu jisikilizie katika sentenso yako hiyo kisha ujitathmini; usiogope wala kukwazika na hoja kinzani; ndio ilimu hiyo; unakakasika nini? una tatizo gani la kiakili kiasi kwamba hicho kivazi cha mwalimu kimekutesa kiasi hicho kiakili!? wewe kuona kajibwimbwi tu ka mdada darasani; ute uleeeee!; take control; idhibiti mihemuko yako; sio kila mtu yuko hivyo; you will end up in the red districts with tarts!! hakuna mada hapa wala hoja; mihemuko yako tu.
Tuonyeshe kwa vielelezo Dress code ya walimu ni ipi na ilielekezwa kwa tangazo namba ngapi la serikali na la mwaka gani? kukimbilia kusema ujinga na Upumbavu ni kuonyesha upeo mfupi wa kufikiri kwa hiyo ungetamani wale wote wenye mawazo tofauti na ya kwako wafe ili mradi wewe ushinde hoja dhaifu kama hii!! watu wenye akili zenye afya nzuri hawafanyi hivyo!
Sijasema kwamba kumuita mwenzio Mjinga au Mpumbavu ni tusi; la hasha lakini pia sio sifa!! katu humsifii mtu kwa kumuita mjinga au mpubavu! labda katika mila za kwenu sijuii; Tanganyika kubwa sana hii!

Lugha haina kujibaraguza ndugu yangu; ama unaimudu au huiwezi period! hilo halina mjadala; usione wivu kwa mtu kutumia lugha ya kiingereza! shule mpaka za kata na tuition mitaani ziko kibao! jukwaa hili halijaweka mipaka; kasome!

Tafuta andika linalohusu maadili ya kazi ya ualimu,ndio hoja yangu ilipo na hakuna mjadala hapo...sijawahi na sitawahi kuona ufahari wala sifa kwa mimi kuhudhuria darasan nakuhitimu kwa sababu sijawahi kubahatisha katika mienendo na maendeleo yangu ya kielimu(nina uwezo huo),kwangu sifa ni hiyo elimu imenisaidia nini,sasa kama mwalimu huyo anashindwa kuelewa andiko linalohusu maadili ya kazi yake,unataka kumuweka katika kundi gani zaidi ya mpumbavu???maana hata kama kashindwa kusoma ila alifundishwa kwa kusikia,sasa kuna hoja gani zaid yakusema huo ni upumbavu...walimu wana maadili yao ya kazi kuanzia mavazi hadi matendo na siyo swala la porojo za mjadala..
 
lol! ulidata weye!!! na ulikuwa mmoja wa Wanafunzi ambao hamkupenda aondoke alipomaliza PT yake.

Nakumbuka form three au two alikuja kama dizain hii kutoka UD kwa PT yake akatufundisha "is it possible" alikuwa anakaa juu ya dawati asee kweli "it was possile. . . . . . but. ., . ."

Namkumbuka mpaka majina yake. . . . .
 
Tafuta andika linalohusu maadili ya kazi ya ualimu,ndio hoja yangu ilipo na hakuna mjadala hapo...sijawahi na sitawahi kuona ufahari wala sifa kwa mimi kuhudhuria darasan nakuhitimu kwa sababu sijawahi kubahatisha katika mienendo na maendeleo yangu ya kielimu(nina uwezo huo),kwangu sifa ni hiyo elimu imenisaidia nini,sasa kama mwalimu huyo anashindwa kuelewa andiko linalohusu maadili ya kazi yake,unataka kumuweka katika kundi gani zaidi ya mpumbavu???maana hata kama kashindwa kusoma ila alifundishwa kwa kusikia,sasa kuna hoja gani zaid yakusema huo ni upumbavu...walimu wana maadili yao ya kazi kuanzia mavazi hadi matendo na siyo swala la porojo za mjadala..

Mjadala upo! Tanabahisha dress code ya mwalimu; ilitoka kwa Government notice No ngapi ya mwaka gani vinginevyo you are only trying to relate to us figments of your own imagination! Kivazi ni fasheni; fasheni zinakuja na kupita! kwa akili ya kawaida kabisa japo wengine wanasema common sense is not always common! yule mwalimu katika picha inayokutoa utee; kajisitiri vizuri tuu na kawaida kabisa; nguo imemkaa vizuri, ndefu karibu na magoti wala sio mini au suruali ya kubana! sasa wewe kwa sababu ya mihemuko yako; akili yako inaanza Kuscratch kutokana na umbo lake; wewe unataka kila mwalimu wa kike awe "armophous" yaani shapeless kama Yai? kwa akili yako hiyo kama huyo mdada angekua shapeless usingetia neno hapa! Take control ya mihemuko yako! Walimu hawana dress code; wameachwa watumie busara zao kulingana mila; desturi na maadili ya nchi yetu. hiyo shule ina mwalimu mkuu; ina bodi, ina baraza la wazazi; kuna walimu wenzie! asingevaa hivyo kama anakwaza wenzie na wanafunzi! wewe tu ndie umekwazika hujishangai?! take control of your libido; Usituletee mambo ya kihafidhina hapa; kama wewe ni Mujahedina au muumini wa itikadi za Islamic state hamia Syria na Iraq; Boko haram, Al shabab etc etc..!. hapa kwetu we are a secular state hatuna nafasi na mujahedina.
 
.....anafundisha shule gani huyo ili Professore akatembelee hiyo shule, anaweza akaukwaa Ukuu wa Wilaya ya Kinondoni soon maana yule aliyewekwa ashaanza kuonekana ni "kiazi"
 
Mie pia sioni tatizo kama anafundisha kokote kule, wenye matatizo ya Mwalimu kuvaa hivi darasani wana lao jambo. Nimeukuta huu mjadala mtandaoni na kuamua kuuleta hapa.
Mkuu Biblia inasema ukiona jicho la kushoto linakukosea ling'oe. Biblia inaendelea kusema kuwa ni Bora kwenda Mbinguni ukiwa na chongo kuliko kwenda Jehanamu ukiwa na macho mawili.
Mimi naishia hapo, natumai watakuja wachungaji kufafanua zaidi nini maana "Jicho kukukosea" na nini maana ya "Ling'oe"
 
hilo ni kosa mwalimu hapaswi vaa vazi litalo draw attention ya wanafunzi

kama hapo watoto wa kiume wanaweza kazana na tako badala ya ubao wa kike wanaweza kazana angalia high heel ya mwalimu
 
Mjadala upo! Tanabahisha dress code ya mwalimu; ilitoka kwa Government notice No ngapi ya mwaka gani vinginevyo you are only trying to relate to us figments of your own imagination! Kivazi ni fasheni; fasheni zinakuja na kupita! kwa akili ya kawaida kabisa japo wengine wanasema common sense is not always common! yule mwalimu katika picha inayokutoa utee; kajisitiri vizuri tuu na kawaida kabisa; nguo imemkaa vizuri, ndefu karibu na magoti wala sio mini au suruali ya kubana! sasa wewe kwa sababu ya mihemuko yako; akili yako inaanza Kuscratch kutokana na umbo lake; wewe unataka kila mwalimu wa kike awe "armophous" yaani shapeless kama Yai? kwa akili yako hiyo kama huyo mdada angekua shapeless usingetia neno hapa! Take control ya mihemuko yako! Walimu hawana dress code; wameachwa watumie busara zao kulingana mila; desturi na maadili ya nchi yetu. hiyo shule ina mwalimu mkuu; ina bodi, ina baraza la wazazi; kuna walimu wenzie! asingevaa hivyo kama anakwaza wenzie na wanafunzi! wewe tu ndie umekwazika hujishangai?! take control of your libido; Usituletee mambo ya kihafidhina hapa; kama wewe ni Mujahedina au muumini wa itikadi za Islamic state hamia Syria na Iraq; Boko haram, Al shabab etc etc..!. hapa kwetu we are a secular state hatuna nafasi na mujahedina.
Astakhafirulah!!Na mtachomwa moto siku ya jehanamu,hakika nawaambia...
 
Upumbavu ni pamoja na kufikiri kuwa wewe siyo mpumbavu..... Jenga hoja acha huo upumbavu wako.....
 
ni sawa tu au kwa kua ni mwalimu mbona manesi hamsemi au polisi wanavaaje hamsemi huko maofisini ndo usiseme....
 
Tofautisha mwl na polisi au manesi kipindi cha nyuma hasa utawala wa mwl Nyerere,alikuwa ni m2 bora sana katka waajiriwa wa nchi hii,we unadhani mwl kazi yake n kukumezesha notes 2,hata maadili hasa uvaaji...
 
lol! ulidata weye!!! na ulikuwa mmoja wa Wanafunzi ambao hamkupenda aondoke alipomaliza PT yake.

Hata wewe ungedata kaka umri ule ndio motomoto BAK. . .Alikuwa akichoka kusimama anakaa kwenye kiti cha mwalimu pale mbele. . . .Saaasa na kisketi kile unakuwa una imagine akifungua tu pale "posta " hii hapa lakini wapiii bhana mpaka kengele hakuna kuona posta mpya wala ya zamani. . . . . .

Nadhani alinigundua sasa akanifanya mdogo wake eti. . . . akitaka kutuma kitu ananituma, akiwa na misele yake baada ya kipindi mie natumwa kurudisha vitabu na chaki ofisini. . . . . .siku anaondoka alifuatwa na jamaa mmoja na gari ya serikali . . . . . . .ndio nikajua daaanh bakubwa banafaid. . . . .basi ikawa mwisho wa yuke "Betty" bhana ila namkumbuka mpaka kesho
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mjadala upo! Tanabahisha dress code ya mwalimu; ilitoka kwa Government notice No ngapi ya mwaka gani vinginevyo you are only trying to relate to us figments of your own imagination! Kivazi ni fasheni; fasheni zinakuja na kupita! kwa akili ya kawaida kabisa japo wengine wanasema common sense is not always common! yule mwalimu katika picha inayokutoa utee; kajisitiri vizuri tuu na kawaida kabisa; nguo imemkaa vizuri, ndefu karibu na magoti wala sio mini au suruali ya kubana! sasa wewe kwa sababu ya mihemuko yako; akili yako inaanza Kuscratch kutokana na umbo lake; wewe unataka kila mwalimu wa kike awe "armophous" yaani shapeless kama Yai? kwa akili yako hiyo kama huyo mdada angekua shapeless usingetia neno hapa! Take control ya mihemuko yako! Walimu hawana dress code; wameachwa watumie busara zao kulingana mila; desturi na maadili ya nchi yetu. hiyo shule ina mwalimu mkuu; ina bodi, ina baraza la wazazi; kuna walimu wenzie! asingevaa hivyo kama anakwaza wenzie na wanafunzi! wewe tu ndie umekwazika hujishangai?! take control of your libido; Usituletee mambo ya kihafidhina hapa; kama wewe ni Mujahedina au muumini wa itikadi za Islamic state hamia Syria na Iraq; Boko haram, Al shabab etc etc..!. hapa kwetu we are a secular state hatuna nafasi na mujahedina.

Hapa sasa na wewe unaanza kuwa mphumbhavu sababu extremists wako pande zote za dini. . . .nawe unaweza weka hayo maegemezi ya kuonesha "uhafidhina" uko kwa waislamu tu??!!
 
Mie pia sioni tatizo kama anafundisha kokote kule, wenye matatizo ya Mwalimu kuvaa hivi darasani wana lao jambo. Nimeukuta huu mjadala mtandaoni na kuamua kuuleta hapa.

Ni kweli hakuna tatizo kama wewe ni mwanafunzi ila kama ni mimi hao sielewi kamwe labda baada ya mtihani nitakuja elewa
 
Tofautisha mwl na polisi au manesi kipindi cha nyuma hasa utawala wa mwl Nyerere,alikuwa ni m2 bora sana katka waajiriwa wa nchi hii,we unadhani mwl kazi yake n kukumezesha notes 2,hata maadili hasa uvaaji...

hizi siyo enzi za mwalimu.....nyi ndo mnataka walimu wawe wanavaa vibaya...na ndo maana waalim walikua wanadharaulika na kuonekana washamba shauri ya mavazi
 
Tofautisha mwl na polisi au manesi kipindi cha nyuma hasa utawala wa mwl Nyerere,alikuwa ni m2 bora sana katka waajiriwa wa nchi hii,we unadhani mwl kazi yake n kukumezesha notes 2,hata maadili hasa uvaaji...

lakini hata hvo huyo dada amepitiliza ts too bad
 
Back
Top Bottom