Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

Leta

Neighborhood za Dsm, achana na Samia scheeme zenu
Unaijua Avic town Kigamboni?
Hiyo sio ya serikali.
Screenshot_2024-09-22-21-13-01-53_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Unaleta Nyumba za mashirika, huko hakuna msuri wa mtu imagine mwanza haijawahi kujenhewa mradi wowote wa nyumba kama hizo na bado tunawakimbiza tu
Hizo nyumba zinagawiwa bure kwani!??
😂😂😂😂Bro mbona unataka kuchekesha watu!??
Unajua hapo floor moja ni shingapi!?
Gorofa za Kijichi zimekamilika ndani ya mwaka zote zimenunuliwa kila floor ni Tzsh 250+ millions.
Ingekua watu hawana ubavu serikali na mashirika wasingejenga.
Ukiona watu ama shirika linawekeza sehemu jua hiyo sehemu ina pesa na watu wanajiweza.
 
Acheni utani basi, we mtoa mada, unazngua.. Mwanza ipambanishe na Mzuzu, Arusha, Dodoma, Mbeya, Tanga,
Bujumbura, Entebe, Kitwe,
Mwanza imepitwa na Lilongwe, Lusaka,Bulawayo, Mombasa, Unguja, Zomba, ambapo haya majiji yoote hayaisogelei Dar hata kwa Dawa..
Dar ni level za Nairobi, Harare, Beira, Beirut, Luanda n.k
Tembea uone,usijifungie huko ulipo
 
Ds
Acheni utani basi, we mtoa mada, unazngua.. Mwanza ipambanishe na Mzuzu, Arusha, Dodoma, Mbeya, Tanga,
Bujumbura, Entebe, Kitwe,
Mwanza imepitwa na Lilongwe, Lusaka,Bulawayo, Mombasa, Unguja, Zomba, ambapo haya majiji yoote hayaisogelei Dar hata kwa Dawa..
Dar ni level za Nairobi, Harare, Beira, Beirut, Luanda n.k
Tembea uone,usijifungie huko ulipo
Dsm pa hovyo sana,
 
Acha kukariri madesa, Dar ni 17% na Mwanza ni 9%, na kingine kinachosababisha ilo gap la GDP ni kuwa uchumi wa nchi wameu centralize Dar, HQ nyingi zipo Dar, na kila muhamala unaofanya kwa njia ya simu mapato yanahesabiwa Dar, mf brela n.k, hata mizigo mtu wa Mwanza kaagiza magari Japan lakini mzigo ukifika bandari ya Dar mapato yote, ushuru, kila kitu kinahesabiwa Dar, mtu wa mbeya analima mazao yanapelekwa Dar kufanyiwa processung na mapato yote yanahesabiwa Dar, mikoa ya Tanzania inatumika kuijenga Dar kiuchumi, mbali na hayo lakini Mwanza bado inaonesha mabavu kwa Dar, Mwanza haina mbeleko lakini inafukuza mwizi taratibu.
Hata matajiri wakubwa wanalipia Kodi dar ndo iko hivyo
 
Back
Top Bottom