Yaani acha tu, maswali yanakuwa meengi na connectios zinaanza lol!! Unashangaa wageni hawakauki nyumbani. Cc Heaven SentChangamoto nyingine ni baadhi ya watu kudhani kuwa umefika umri huo bila kuoa/kuolewa kwa sababu aidha unachagua sana au una tabia mbaya zilizosababisha ukose mwenza
Sasa mkuu huku ni kuharibiana tusio na watoto duuh!!Amani mkuu kuwa huru katika maamuzi yako.
Acha uoaga wewe, nikwambie tu kitu kimoja ni kheri ulee mtoto ambae unajua kabisa sio wako tangu awali kuliko kulea mtoto ambae unajua ni wako kumbe sio wako na unakuja kujua baadae, utakufa kwa stroke na hii tabia mara nyingi ufanywa na hao mnao waona ni brand new
Wa umri ni utakao,wengi wanafamilia zao tayari!Mbona wewe hujasema changamoto gani inakukabili ?
Nawe uwe na vigezo vya huyo unayemtaka.Nna hamu ya kuwa na Mke,lakini tatizo najiuliza ntampata mwenye vigezo navyovihitaji,hapo tu ndipo huwa nakwama
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
Unawataka wa umri gani nikuunganishe na baba yangu TGInnocentWa umri ni utakao,wengi wanafamilia zao tayari!
Huyu uliem-cc anahusikaje? Anachagua sana au?Yaani acha tu, maswali yanakuwa meengi na connectios zinaanza lol!! Unashangaa wageni hawakauki nyumbani. Cc Heaven Sent
Hahahaaa! Si unajua unaweza ukampata mwenye vigezo unavyovitaka alafu wewe ukawa hauna vigezo anavyovitaka, ndio hapo unasikia "anachagua sana"!!!Majibu yako ni predictable!
Usiombe kukutana na class mates wa enzi hizo, Dah! Maswali mia na kidogo!Yaani acha tu, maswali yanakuwa meengi na connectios zinaanza lol!! Unashangaa wageni hawakauki nyumbani. Cc Heaven Sent
Hii ni kweli kabisa. Unaemtaka hakutaki,anaekutaka humtaki! Ila sidhani kama hamna mtu mwenye vigezo.Hahahaaa! Si unajua unaweza ukampata mwenye vigezo unavyovitaka alafu wewe ukawa hauna vigezo anavyovitaka, ndio hapo unasikia "anachagua sana"!!!
Hapana, anaelewa zaidi nilichoongelea hapoHuyu uliem-cc anahusikaje? Anachagua sana au?
"Jamani kwanini haujaolewa!! Unachagua sana jamani!!"Usiombe kukutana na class mates wa enzi hizo, Dah! Maswali mia na kidogo!
Kulea uzeeni sio shida. Muhimu ni kuhakikisha una 'nguvu' ya kulea hadi uzeeni.Kitu kingine kikubwa utakuja kuwa na watoto ambayo utawalea hadi uzeeni mwako wakiwa bado wadogo
(Hilo ndio kubwa ninaloliogopa kwangu )/
Labda kama ushazalisha nje walau 1#
Asante kwa kunijali mwaya.Nitakunong'oneza baadae........RRONDO asijetulalamikia eti uzi wake tumeugeuza LOVE CONNECTUnawataka wa umri gani nikuunganishe na baba yangu TGInnocent
Ni kweli kila mtu ana vigezo vyake, hakuna asie navyo. Cha msingi ni usifanye tu maamuzi out of desparation. Imewacost wengi.Hii ni kweli kabisa. Unaemtaka hakutaki,anaekutaka humtaki! Ila sidhani kama hamna mtu mwenye vigezo.