MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

hahahahahahahaha lol! ungekumbuka utotoni tu kulamba kamasi mbele kwa mbele 🙂🙂 nimecheka sana kwi kwi kwi kwi hukupiga mswaki kapeace?

Hapo kunyonya kamasi nimekupa salute aisee shikamooooo
Mi mwanangu tu nilishindwa na yalikuwa yamemkaba balaa, nikafumba macho nikayavuta Halafu mbio kwenda kutema na kusukutua
 
Thank you for appreciation BINTIYAZA

unajua aina ya watu kama huyo jamaa ndio wanaotuharibia wanawake, sasa hapo kupata uto tu binti tuwili out of desperation basi ndio ameona wanawake wote mchawi wao pesa tu.

Ulemavu huo!
Hahahaaa! Eti ulemavu!!
 
Mkuu kati ya maeneo maishani yasiyo taka masihara,ni hili!
Ni vizuri sana kuweka sifa na vigezo vyako unavyo fikiri ndio zitakusogeza ktk kufurahia ndoa,lkn Mungu ndio namba moja!Sisi wakristo tunaamini kuwa mtu hupewa nyumba na urithi na babaye lakini mke mwema hupewa na Mungu.
Kumbuka hakuna hata binadamu aliyekamilika ispokuwa Mungu pekee!
 
Amen..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…