MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Kila la heri Mkuu umeshaweka nia ya kumpata mwenzi, hivyo jipe muda wa miezi 12 hadi 18 kuwa na mchumba mtarajiwa.

Inawezekana hatuchagui sana sema kuna limited options......I'm not perfect but maybe i'm limited edition!
 
Mimi changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni kwamba chura nyingi ni za kichina![emoji58][emoji58][emoji58]......kwa mpenda chura kama mimi hiyo imekuwa ni changamoto kubwa!
 
hahahahahahahaha lol! ungekumbuka utotoni tu kulamba kamasi mbele kwa mbele 🙂🙂 nimecheka sana kwi kwi kwi kwi hukupiga mswaki kapeace?
Yaani we acha tu hata kumeza manii siwezi aisee, si kwamba nina kinyaa kivile lkn kuna vitu vingine mh sio
 
Juzi dingi.kanitumia meseji utaoa lini au una mpango gani?
Nikaona huyu mzee ana zeeka vibaya.
Nikamjibu bado babaaa.
 
Ni bora kuoa mdada mwenye mtoto kuliko asiye na mtoto
 
Mimi changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni kwamba chura nyingi ni za kichina![emoji58][emoji58][emoji58]......kwa mpenda chura kama mimi hiyo imekuwa ni changamoto kubwa!
Ha ha ha ha wewe mwehu hujawahi kuwa serious! Anyway hivi mwehu huwa anakuwa serious?🙁
 
Imagine marafiki wa hao wachumba zake wakiona shost zao wako na lipedeshee wanaonaje!! na wasichana walivyokuwa rahisi kuongozwa na mob psychology! Si watakuwa wanaota tu na wenyewe wapate lipedeshee hata kama lina umri wa babu yao
Kati ya mambo yalonifanya niache kuhubiri pesa humu ni hilo mkuu. Kumbe kuna watu wanachukulia mambo humu very serious!! Kiranga komo!!
 
Mbona alishusha vigezo akasema hata kama unacho kimoja uende tu, bado ukadengua!! Umegandana na kina Bonny na Benny tu misheni town hata hmpigi hatua tangu enzi za mfalme herode! Changamka basi hapa naona kumeshakucha.
Haha mbona Mfalme Herode. Niulizie basi kama naruhusiwa kwenda upya, niapply tena
 
Hapo kunyonya kamasi nimekupa salute aisee shikamooooo
Mi mwanangu tu nilishindwa na yalikuwa yamemkaba balaa, nikafumba macho nikayavuta Halafu mbio kwenda kutema na kusukutua
Hata dada yangu alikuwa hawezi, mie ndio nilikuwa nafanya hilo. My friends kids pia nafanya tu sioni taabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…