ha ha ha ha ha ha haSO TRUEE........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ha ha ha haSO TRUEE........
ndugu hawanuniani kiurahisi labda kwenye kugawa urithi tu. miss youHivi unahabari nimekununia!! Ni un-nune haraka[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Lazima uwe na choice broMimi sijui hata ninamhitaji mke wa namna gani?
Karibu tena rafikiUjumbe umefika. Nitaufanyia kazi.
Safi kabisa, mie nasoma tuuVipi madam?
Ahsante kwa ushauri bado nafasi ya kusubiri ipo kinachofanya iwe ivyo ni maisha ya ujana. Binafsi niliomba niishi maisha ya uaminifu hadi pale nitakapokutana na mtu ambaye atakuwa nami maishani, thanks God huyu binti four years back ndipo nlipokutana nae.Dhaa apo maji ya moto atari snaa bora mnge subiri kidogo mpange life lingine la maendeleo msichana bado ana umri wa kujiendeleza sna kwa mambo mengi then utoto bado upo kwa mbali lamda wewe ati list ume sogea
Pamoja broAhsante kwa ushauri bado nafasi ya kusubiri ipo kinachofanya iwe ivyo ni maisha ya ujana. Binafsi niliomba niishi maisha ya uaminifu hadi pale nitakapokutana na mtu ambaye atakuwa nami maishani, thanks God huyu binti four years back ndipo nlipokutana nae.
Nipo tayari kusubiri hata miaka mitano, mwakani tutaangalia lakini kuanzia mwaka kesho nitakua tayari mda wowote.
Thanks kwa ushauri.
Naelekea Mwanjelwa kukata kitambaa. Dalili ya mvua.....Na lately naona changes kubwa[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kweli umekua,now its about time tuitwe aunty sie. Cc Heaven Sent.
Ni kweli hiyo ni changamoto kubwa, hata kuwaza mnakuwa hamuwazi sawa. Nimeiona kwa shemeji yangu imemsumbua mnooo, wana tofauti ya miaka 10 na mkewe. Yaani ilikuwa ni patashika nguo kuchanika.Hili ndio nahofia, imagine nimefikisha 50, mke ndio ana 33! Kuna usalama kweli?!!
DaaahNishauri kwa angle ya 'muolewaji'
Mimi nataka ya mualiko[emoji85] [emoji85] [emoji85]nipo.
naomba tu siku ukiamua kuoa unipe kadi kama utahitaji mchango
Ilo nalo la simngi lakini mama kubwa nawo wanajua kupenda atari kutokana unakuta kashaa pitia yote amna jipi alilo pata zaidi ya kuchoshwaUwe makini kama umri umekwenda sana halafu upate kicheche maisha yatakua mafupi sana. Tafuta mtu mzima kama wewe ambae amechelewa kama wewe asiye na mtoto .Una mtihani mkubwa ila omba Mungu atakuonyesha size yako
Miss you more. Nani alikuficha!!ndugu hawanuniani kiurahisi labda kwenye kugawa urithi tu. miss you