Basi sawaKweli tena...
Nakumiss lakiniBasi sawa
Miaka 35 mwanamke jua linakuwa limeshaanza kuzama kbs.Kwaio mwanamke mwenye 35 ni gari ya mkaa [emoji54][emoji54] uwe na akiba ya maneno kama nakuona ambavyo inatokea kwako
Jaman jamanMiaka 35 mwanamke jua linakuwa limeshaanza kuzama kbs.
Kama gari basi volkswagen bito
Jaman jaman
Wow! Hongera kwa kufaulu mtihani pasipo maandalizi yoyoteNilifaulu. Baada ya ndoa ndo akaniambia
Hamna mtu anataka kuoa gari ya mkaa
Ukitaka kujua thamani ya gari la mkaa, nunua Porsche Cayenne Turbo charger halafu ufanyie hiyo biashara ya kuuza mkaa.
Kama wewe gari la taka tafuta mwenzio wa kufanana nawe mtafurahia maisha balaa. Hakuna kitu kigumu kama njiwa kutaka kuoa ama kuolewa na eagle. Ni mateso tu bila chuki na maugomvi yasiyoisha.
Na mwanamke akifika miaka hiyo huwa anakuwa kama gari ya taka haichagui mzigo
Na mwanaume je? Anakuwaje? Anachagua mzigo?
Mwanaume una choice ya kuoa hata ukiwa na miaka 70 unaweza kuchukua binti wa miaka 18
Ukitaka kujua thamani ya gari la mkaa, nunua Porsche Cayenne Turbo charger halafu ufanyie hiyo biashara ya kuuza mkaa.
Kama wewe gari la taka tafuta mwenzio wa kufanana nawe mtafurahia maisha balaa. Hakuna kitu kigumu kama njiwa kutaka kuoa ama kuolewa na eagle. Ni mateso tu bila chuki na maugomvi yasiyoisha.
Na mwanaume je? Anakuwaje? Anachagua mzigo?
Aisee....Mwanaume una choice ya kuoa hata ukiwa na miaka 70 unaweza kuchukua binti wa miaka 18
AsanteWow! Hongera kwa kufaulu mtihani pasipo maandalizi yoyote
Mwanaume akija yeyote anakuwa amechagua. Mwanamke akiolewa na yeyote anakuwa gari la mkaa hachagui mzigo.
Tufanye umeshinda mkuu. Nimekuelewa sana.
Wanawake wakiitambua Nguvu waliyonayo mtapata shida sana aisee. Ongezeni juhudi kuwakandamiza. Leo ni siku ya mtoto wa kike duniani, najisikia kama sikanyagi ardhi vile hehehe (nakutania mwaya)
wajuajiiWabongo ni watu gani
Usijekuta huyo ndo mtoa ushauri hapo juu?Nilifaulu. Baada ya ndoa ndo akaniambia