MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Ni kama mimi shost. Mwanaume mwenye mtoto anipishie mbali tu kwa kweli
 
Amen
Lile jibu langu ni kiboko ya wanaume... 'Sawa' milele hutosikia kuna ugomvi kwenye familia....
Mara nyingi hufuata ngwala za kwenye six na mara nyingi hua mnakua chapa chapa hapo kati kana kwamba mkwara ndo maandalizi yenyewe.

Sijui upande wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…