MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Ndio maana kuna age group huwa naikwepa.
 
Kila ukitaka KUOA BINTI MDOGO .....utawasikia wakisema UJANA WAKO ULE NA NANI....UZEE WAKO UJE KWNGU...nitolee MAPENGO YAKO MM....kwahiyo inakuwa taabu kupata mtoto mbichi....yabidi uangukie kwa single mother
 
Kila ukitaka KUOA BINTI MDOGO .....utawasikia wakisema UJANA WAKO ULE NA NANI....UZEE WAKO UJE KWNGU...nitolee MAPENGO YAKO MM....kwahiyo inakuwa taabu kupata mtoto mbichi....yabidi uangukie kwa single mother
Bahati nzuri nina mwili mzuri, najitahidi mazoezi na kula vizuri. Hata hao mabinti wadogo nikiwatajia umri wangu hawaamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…