Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joverenest haha haSisemi mpaka mwanasheria wangu aje..
This is too personal
Cha muhimu ni kusomeka vizuri huko mbinguni mkuuUkianza kufikiria at the end wote tunakufa,utakuta cha muhimu ni kusomeka kwenye vitabu vya historia na hiyo ni bahati ya watu wachache katika wengi.
Mfano kuwa maarufu katika kama husika mfano siasa,michezo,sayansi, au tajiri mkubwa.
Huyu jamaa alikuwa anatamani sana kuwa verified.Joverenest haha ha
Labda sijaeelewa swali mkuu, ila nimeuona upadre ni wa kawaida kuliko nilivyouchukulia mwanzoni udogoni.Hiyo bado haijawa kawaida Bwana Pendael.
🤣🤣
UKWELI 40%
UMENIPA JINA JIPYA JOVERENESTJoverenest haha ha
Ooh!! 😮Kwakuwa nimezaliwa kijijini na kusoma shule ya msingi kijijini,
Nilikua natamani sana kuwa mwalimu wa shule ya msingi,kwani walimu ndiyo waliokuwa wanaongoza kuwa na maisha mazuri kijijini kwetu miaka ile,ila sasa naona ni kawaida tu.
Yaah mkuuOoh!! 😮