Mjadala: Ni jambo gani kwenye Maisha yako lilichelewa sana? Ila sasa unaona kawaida sana

Mjadala: Ni jambo gani kwenye Maisha yako lilichelewa sana? Ila sasa unaona kawaida sana

Nilitamani sana kusafiri nje ya nchi. Lakini hivi sasa ni jambo la kawaida. Naona kazi kubwa ni kuijenga Tanzania ili tufike mbali kama nchi za wenzetu na iwe ni sehemu ya kujivunia na wageni kuja kujifunza.
 
Back
Top Bottom