Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Kumekuchaaaaaaa kumekucha ...... 6-8 months am za na kipimo kikubwa ... Katibu genital herpes/warts hehe hehe eee eee uliiingia pabovu mzeee .. Punguza kuuza mechi kwa maelezo yako bado we ni duka unauza sana mechi acha ni hatari
 
Wewe ndiyo maana mwanamke wako hataki kushiriki na wewe ngono (upo uzi wako humu ukimlalamikia kwa hilo) cha kufanya wahi matibabu na yeye pia akatibiwe muwe salama na mfunge ndoa muache kuzini zinaa siyo nzuri ni chukizo na inafukuza baraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…