Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

 
Hivi hii imekaaje mtu kutuma picha zake za utupu mtandaoni kwa madai eti anaomba msaada wa tatizo lake ?? .. madaktari mbona wengi kwanini usiende ukawaelezea shida yako wakakutibia, wakuu fake ID's zisitufanye tuvuke mipaka .. mods pia mnaweza kufanya kazi yenu ..


POVU RUKSA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…