Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Jf imejaa wangese sana siku hizi, mnaacha kumsaidia mdau nyie mmekazana kumnanga!


Na kwa wote mnaotaka apigwe ban, muwe na tabia ya kurejea nyuzi za zamani, kuna mmoja pia ashawahi tuma dushe humu tena hii nahisi ndio inasaidia mtu kupata tiba haraka

Tafuta kibiriti upele wanauza wale wazee wa sumu ya panya kwa sh 500, nunua na mafuta ya nazi au mgando changanya then tumia, utaleta mrejesho mwenyewe hapa ndani ya siku 4
 
Jf imejaa wangese sana siku hizi, mnaacha kumsaidia mdau nyie mmekazana kumnanga!


Na kwa wote mnaotaka apigwe ban, muwe na tabia ya kurejea nyuzi za zamani, kuna mmoja pia ashawahi tuma dushe humu tena hii nahisi ndio inasaidia mtu kupata tiba haraka

Tafuta kibiriti upele wanauza wale wazee wa sumu ya panya, nunua na mafuta ya nazi au mgando changanya then tumia, utaleta mrejesho mwenyewe hapa ndani ya siku 4
Asante mkuu
 
Hivi hii imekaaje mtu kutuma picha zake za utupu mtandaoni kwa madai eti anaomba msaada wa tatizo lake ?? .. madaktari mbona wengi kwanini usiende ukawaelezea shida yako wakakutibia, wakuu fake ID's zisitufanye tuvuke mipaka .. mods pia mnaweza kufanya kazi yenu ..


POVU RUKSA!
Mkuu usiombe yakukute, unadhani jamaa kapenda kufanya hivyo? Nikwasababu jamaa ana shida na anahitaji msaada
 
Mkuu hii ni Kaswende. Inatibika vizuri hospital. Nenda na wala usone aibu. Mweleze daktari na upime damu kipimo cha VDRL. Pia pima na mkojo. Baada ya hapo daktari atakuandikia sindano za masaa uchome kwenye mishipa na ukimaliza sindano atakupa pills za antibiotics na baada ya muda utapona vizuri kabisa.

Pole sana mkuu na nakushauri wahi sana hospital usione aibu
 
Sitoi povu ila kuna watu wameugua ugonjwa kama wa huyo jamaa me pia niliwah kuugua ugonjwa kama huo ilikua ni mwendo wa kuwashwa mwili kwa miez kama 4 iv... hospital nenda rudi pesa ilotumika sio mchezo. Ni mwendo wa sindano, dawa za kupaka na kumeza lakini hakuna nilichafaniksha.. ila kupitia humu na mtu mwingne wa nje nikapata dawa.. msamehe bure jamaa
Nashindwa kusema zaidi mkuu, ukipata tatizo kama hili unaweza vua nguo mbele za watu, acha tu
 
Mr Zaburi 23 Kama Kuna mwanamke alikuambiaga unamuumiza na hicho kidole Cha mtoto ujue alikua anakulia pesa yako bure.
Aisee. Naona ulivaa kondom ikachomoka kwa wembamba huo ndio maana umepata huo mkanda wa jeshi almaaruf shingles..
 
Back
Top Bottom