Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
😏😏Ndio ujipimie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😏😏Ndio ujipimie
Usije kulaumu baadae haya mambo hadharani pilipili ya kihindi hiyo[emoji57][emoji57]
Jamanii si haija simama[emoji23][emoji23][emoji23]Naona mkuu umeamua kutuonyesha pili pili mbuzi kabisa.
Dah
Hicho ni zaidi ya kibamia
Sema hapa hapa, na siyi apa apa, japo una ushauri mzuriKatumie dawa inaitwa Scaboma , inauzwa around elfu 8- 12 inategemea na duka, uje kusema asante apa apa
HIYO SEHEMU YAKO YA SIRI MBONA UMEIANIKA.
Asante mkuuJf imejaa wangese sana siku hizi, mnaacha kumsaidia mdau nyie mmekazana kumnanga!
Na kwa wote mnaotaka apigwe ban, muwe na tabia ya kurejea nyuzi za zamani, kuna mmoja pia ashawahi tuma dushe humu tena hii nahisi ndio inasaidia mtu kupata tiba haraka
Tafuta kibiriti upele wanauza wale wazee wa sumu ya panya, nunua na mafuta ya nazi au mgando changanya then tumia, utaleta mrejesho mwenyewe hapa ndani ya siku 4
Mkuu usiombe yakukute, unadhani jamaa kapenda kufanya hivyo? Nikwasababu jamaa ana shida na anahitaji msaadaHivi hii imekaaje mtu kutuma picha zake za utupu mtandaoni kwa madai eti anaomba msaada wa tatizo lake ?? .. madaktari mbona wengi kwanini usiende ukawaelezea shida yako wakakutibia, wakuu fake ID's zisitufanye tuvuke mipaka .. mods pia mnaweza kufanya kazi yenu ..
POVU RUKSA!
Zipo nyingi ukisachi gugo xxxHIYO SEHEMU YAKO YA SIRI MBONA UMEIANIKA.
[emoji23] aise nimecheka sana. Sio vizuri mwanaume ku discuss mjululu wa mwanaume mwenzetu ila jamaa itoshe kusema ana pilipili mangaNaona mkuu umeamua kutuonyesha pili pili mbuzi kabisa.
Dah
Hicho ni zaidi ya kibamia
Mkuu hii ni Kaswende. Inatibika vizuri hospital. Nenda na wala usone aibu. Mweleze daktari na upime damu kipimo cha VDRL. Pia pima na mkojo. Baada ya hapo daktari atakuandikia sindano za masaa uchome kwenye mishipa na ukimaliza sindano atakupa pills za antibiotics na baada ya muda utapona vizuri kabisa.
Ugonjwa hauna aibu. Kafanya vizuri kutafuta suluhu ya matatizo yake kwa uwaziTufute hizo picha kabla wanawake hawajaziona. Ni aibu ya wanaume wote humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu, nazingua tu, nimeona amepewa ushauri wa dawa hapo juuUgonjwa hauna aibu. Kafanya vizuri kutafuta suluhu ya matatizo yake kwa uwazi
Nashindwa kusema zaidi mkuu, ukipata tatizo kama hili unaweza vua nguo mbele za watu, acha tuSitoi povu ila kuna watu wameugua ugonjwa kama wa huyo jamaa me pia niliwah kuugua ugonjwa kama huo ilikua ni mwendo wa kuwashwa mwili kwa miez kama 4 iv... hospital nenda rudi pesa ilotumika sio mchezo. Ni mwendo wa sindano, dawa za kupaka na kumeza lakini hakuna nilichafaniksha.. ila kupitia humu na mtu mwingne wa nje nikapata dawa.. msamehe bure jamaa