Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Jf imejaa wangese sana siku hizi, mnaacha kumsaidia mdau nyie mmekazana kumnanga!


Na kwa wote mnaotaka apigwe ban, muwe na tabia ya kurejea nyuzi za zamani, kuna mmoja pia ashawahi tuma dushe humu tena hii nahisi ndio inasaidia mtu kupata tiba haraka

Tafuta kibiriti upele wanauza wale wazee wa sumu ya panya kwa sh 500, nunua na mafuta ya nazi au mgando changanya then tumia, utaleta mrejesho mwenyewe hapa ndani ya siku 4
 
Asante mkuu
 
Mkuu usiombe yakukute, unadhani jamaa kapenda kufanya hivyo? Nikwasababu jamaa ana shida na anahitaji msaada
 
Halafu nikajua huwa mnajigamba kwenye kuyapatia maisha tu kumbe mpaka kwenye dushe dah!

Mnapenda sifa sana yani huyo jamaa mzigo upo flacid lakini mnavyomtupia madongo sasa utafikiri mna mizigo inch 8 πŸ˜‚
 
Mkuu hii ni Kaswende. Inatibika vizuri hospital. Nenda na wala usone aibu. Mweleze daktari na upime damu kipimo cha VDRL. Pia pima na mkojo. Baada ya hapo daktari atakuandikia sindano za masaa uchome kwenye mishipa na ukimaliza sindano atakupa pills za antibiotics na baada ya muda utapona vizuri kabisa.

Pole sana mkuu na nakushauri wahi sana hospital usione aibu
 
Nashindwa kusema zaidi mkuu, ukipata tatizo kama hili unaweza vua nguo mbele za watu, acha tu
 
Mr Zaburi 23 Kama Kuna mwanamke alikuambiaga unamuumiza na hicho kidole Cha mtoto ujue alikua anakulia pesa yako bure.
Aisee. Naona ulivaa kondom ikachomoka kwa wembamba huo ndio maana umepata huo mkanda wa jeshi almaaruf shingles..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…