Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Tuelekeze
 
Play safe wazee kam unataka kavu kwann usipime
Kupima tu haitoshi,kikubwa ni kuepuka ngono kwa watu tusio na taarifa nao vyema,huwezi kupima maradhi yote ukapata majibu kwa wakati,siku izi hata UTI inaambukiza kwa ngono,warts ,herps,homa ya ini,yani unaweza kutumia kinga ila ukatoka na warts za kwenye mapumbu ,kazi bureeee

Play safe
 
Nimeona hata mm unaweza nisaidia Leo ingawaje Uzi wakitambo
 
Bulamba nilikuwa namshauri atumie scaboma kama ana dalili hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…