Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #101
Kwao watu wanatekwa na kuuliwa?Ni mawazo fulani ya kipuuzi tu. Ubaguzi wowote ni ubinafsi ambao hata hauwezi kuelezeka ukaeleweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwao watu wanatekwa na kuuliwa?Ni mawazo fulani ya kipuuzi tu. Ubaguzi wowote ni ubinafsi ambao hata hauwezi kuelezeka ukaeleweka.
Ni upepo mbaya na naamini utapita na kuwa historia.Kwao watu wanatekwa na kuuliwa?
Mbona Tayari!Hawa wazenji wakiwa serious wanapindua meza wanaishika nchi nahatuwafanyi kitu nikama watusi walivyopindua meza kwawahutu huko Rwanda
Kwanza kwanini Tanganyika tuongozwe na mzanzibar kwamba sisi hatuna akili za kuweza kujiongoza wenyewe?Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.
Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.
Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu
Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
Ana mwanae pia nae ni motoHii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.
Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.
Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu
Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
DaaaaKwanza kwanini Tanganyika tuongozwe na mzanzibar kwamba sisi hatuna akili za kuweza kujiongoza wenyewe?
Ni muhimu kufanya mabadiliko ya katiba yetu.Nachosema tusiangalie Uzanzibari au Utanganyija kama sifa ya kuteua, tisifanye muafaka wa nani aongoze kisa ni wa bara au kisiwani bali awe mtendaji kazi mzuri na muadilifu.
Hakuna mwanaccm asiye katili, lakini hawa wa Tanganyika wakishastaafu tutawahojiNgoja tuone keshawekwa Mtanganyika wenu