Mjadala: Rais anapokuwa Mzanzibar kuna haja ya Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wote wa juu wa Jeshi la Polisi kuwa Watanganyika

Mjadala: Rais anapokuwa Mzanzibar kuna haja ya Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wote wa juu wa Jeshi la Polisi kuwa Watanganyika

Hawa wazenji wakiwa serious wanapindua meza wanaishika nchi nahatuwafanyi kitu nikama watusi walivyopindua meza kwawahutu huko Rwanda
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
Kwanza kwanini Tanganyika tuongozwe na mzanzibar kwamba sisi hatuna akili za kuweza kujiongoza wenyewe?
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
Ana mwanae pia nae ni moto
 
Ni vyema raisi wa Tanzania akawa mtanganyika,na wa zanzibar akawa mzanzibar,
Alafu pia nyumba ni ya baba
 
Nachosema tusiangalie Uzanzibari au Utanganyija kama sifa ya kuteua, tisifanye muafaka wa nani aongoze kisa ni wa bara au kisiwani bali awe mtendaji kazi mzuri na muadilifu.
Ni muhimu kufanya mabadiliko ya katiba yetu.

Vipengele vyote vinavyoleta u aguzi viondolewe.

1) Kipengere kinachosema Rais akitoka Tanfanyika, Makamu atoke Zanzibar kiondolewe. Tuchague mojawapo, tufute nafasi ya makamu wa Rais au tufute nafasi ya Waziri Mkuu.
 
Back
Top Bottom