Mjadala: Rais anapokuwa Mzanzibar kuna haja ya Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wote wa juu wa Jeshi la Polisi kuwa Watanganyika

Mjadala: Rais anapokuwa Mzanzibar kuna haja ya Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wote wa juu wa Jeshi la Polisi kuwa Watanganyika

Pole sana naona shida zako zinazosumbua ubongo wake unatafuta mahali pa kuzihamishia. Muungano ndio huu na ndio unaotuweka na amani tuliyonayo.

Hakuna lenye ukamilifu analolifanya binadamu na siku zote sifa ya uungwana ni kuweza kuvumiliana.

Samia anaweza kuwepo ikulu mpaka 2030 panapo uhai.
Sawa.
 
..hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni ya muda mrefu sana.

..hoja hiyo ndiyo iliyomuondoa Aboud Jumbe katika Umakamu wa Raisi.

..madai kwamba watu hudai serikali 3 wakati Rais Rais muungano ni Mzanzibari sio ya kweli, kwa kuangazia mfano wa Aboud Jumbe, na mingi mingine.

..Serikali 3 ni hoja inayoungwa mkono na progressives toka pande zote za muungano.

..Wanaopinga serikali 3 ni kikundi kidogo cha wahafidhina walioko CCM. Kikundi hicho hakitaki Katiba iguswe hata kidogo kutokana na hofu ya madaraka yao kuponyoka.
Gharama zake unaziweza hizo serikali tatu?. Jumbe alishaondoka kitambo sana.

Tunakwenda hivi hivi na Mungu akitupa uhai SSH atakuwepo ikulu mpaka 2030, nyinyi mnaolialia endeleeni kulialia.
 
Gharama zake unaziweza hizo serikali tatu?. Jumbe alishaondoka kitambo sana.

Tunakwenda hivi hivi na Mungu akitupa uhai SSH atakuwepo ikulu mpaka 2030, nyinyi mnaolialia endeleeni kulialia.

..Tume ya Warioba walishatafiti kuhusu gharama za muungano wa serikali 3 na walijiridhisha kwamba sio tatizo.

..Pia usiangalie serikali 3 kwa ULAFI huu unaofanywa na CCM. Gharama na matumizi ya anasa ya serikali ni mambo ya kudhibiti wakati wote.
 
..Tume ya Warioba walishatafiti kuhusu gharama za muungano wa serikali 3 na walijiridhisha kwamba sio tatizo.

..Pia usiangalie serikali 3 kwa ULAFI huu unaofanywa na CCM. Gharama na matumizi ya anasa ya serikali ni mambo ya kudhibiti wakati wote.
Unapoongeza serikali ya tatu unauua muungano wenyewe. Kwanini tuongozwe na roho za chuki kipindi cha Samia?.

Lakini nakuhakikishia SSH ataondoka ikulu 2030.
 
Unapoongeza serikali ya tatu unauua muungano wenyewe. Kwanini tuongozwe na roho za chuki kipindi cha Samia?.

Lakini nakuhakikishia SSH ataondoka ikulu 2030.

..Serikali 3 ni pendekezo la watu wenye uchungu na uelewa mkubwa kuhusu muungano.

..Warioba, Salim Salim, Joseph Butiku, Prof.Kabudi, Humphrey Polepole, ni baadhi ya wajumbe wa Tume ya Warioba.

..Hata wao wamechambua na wamekubali kuwa serikali 3 ni muungano bora kuliko huu wa serikali 2.

..Wengine tumeunga mkono serikali 3 hata wakati wa Mkapa, na Kikwete. Sio sahihi kusema tunamchukia Samia, au Raisi Mzanzibari.

..Na hata tukiwa na serikali 3 bado Mzanzibari anaweza kuongoza serikali ya muungano.
 
..Serikali 3 ni pendekezo la watu wenye uchungu na uelewa mkubwa kuhusu muungano.

..Warioba, Salim Salim, Joseph Butiku, Prof.Kabudi, Humphrey Polepole, ni baadhi ya wajumbe wa Tume ya Warioba.

..Hata wao wamechambua na wamekubali kuwa serikali 3 ni muungano bora kuliko huu wa serikali 2.

..Wengine tumeunga mkono serikali 3 hata wakati wa Mkapa, na Kikwete. Sio sahihi kusema tunamchukia Samia, au Raisi Mzanzibari.

..Na hata tukiwa na serikali 3 bado Mzanzibari anaweza kuongoza serikali ya muungano.
Ni chuki zinazoibuka na kutoweka wakati wa urais wa mzanzibari.
 
Ni chuki zinazoibuka na kutoweka wakati wa urais wa mzanzibari.

..yako mapenzi kwa Raisi anayetoka Znz.

..Na ziko chuki kwa Raisi anayetoka Znz.

..hata Raisi akitoka visiwa vya Ukerewe, Ukara, Mafia, wako watakaompenda, au kumchukia, kwasababu tu ametoka huko.

..Lakini maoni kwamba muungano wetu utaboreka ukiwa wa Serikali 3 yanaungwa mkono hata na Wazanzibari wenyewe.

..Ni suala ambalo limeungwa mkono hata na watu ambao ni " nyerereist " kama Mzee Warioba, Salim Ahmed Salim, Joseph Butiku, Palamagamba Kabudi, Humphrey Polepole, waliokuwa ktk Tume ya Warioba.

..Kuna mambo mengi ya kiutendaji yanashindikana kutokana na kutokuwepo kwa serikali ya Tanganyika. Mojawapo ni kuanzishwa kwa akaunti ya pamoja ya muungano.

..Kwasababu hakuna serikali ya Tanganyika uanzishwaji wa akaunti ya pamoja kati ya pande mbili za muungano umeshindikana.
 
Tuilaumu Geography tuliyoikuta baada ya kuzaliwa. Visiwani na Bara ni Tanzania moja ile ile. Vitambulisho sio ishu sana.

Kuna vile vya afya, kuna vile vya kliniki, kuna vitambulisho vya kila aina vyote vinatumiwa ndani ya Jamhuri ya Tanzania.
Wengine tumetoka mikoa ya mpakani tuna ndugu pande zote. Je hapo vitambulisho vya utaifa havina maana.
 
Cha msingi kuondoa hilo ni isijekutokea tena Tanzania/Tanganyika kua na Raisi mzanzibari
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
Nyumbani ni nyumbani tu 🤣 Ina maana bado hatuamini kwamba Tanzania ni Nchi moja na Zanzibar ni sehemu ya Tanzania 🇹🇿 ??! 😅🙄

Kazi kweli kweli !
 
Cha msingi kuondoa hilo ni isijekutokea tena Tanzania/Tanganyika kua na Raisi mzanzibari
Upande wa Tanganyika umetoa maRais wanne na upande wa Zanzibar imetoa wawili tu mpaka sasa !

Tumewapunja 🤣🤣🤣
 
Nachosema tusiangalie Uzanzibari au Utanganyija kama sifa ya kuteua, tisifanye muafaka wa nani aongoze kisa ni wa bara au kisiwani bali awe mtendaji kazi mzuri na muadilifu.
Iyo ni Hoja dhaifu sababu serikali ina wakilisha makundi ya watu ikiwemo watanzania bara na wanzanzibari. Uwezi kuteuwa watanzania bara wote wenye sifa kwenye serikali ukasahau wazanzibari ata kama ni jamuhuri ya mungano alikadhalika hivyo hivyo kwa wazanzibari lazima serikali iwe na uwakilishi wenye taswira ya uwiano wa makundi yote
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
Watanganyika hatuna ubaguzi Wewe Utakua pandikizi la maharamia.
 
Back
Top Bottom