Mjadala: Rais anapokuwa Mzanzibar kuna haja ya Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wote wa juu wa Jeshi la Polisi kuwa Watanganyika

Mjadala: Rais anapokuwa Mzanzibar kuna haja ya Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wote wa juu wa Jeshi la Polisi kuwa Watanganyika

..hakuna watu wabaguzi kama Wazanzibari.

..Ndio maana ukaona Mtanganyika anatandikwa viboko Zanzibar.

..Je, umewahi kuona Mzanzibari akishambuliwa huku Tanganyika?

..Kusema Watanganyika tunaonewa ktk muungano ni kweli.

..Kwanini hatuna serikali yetu? Kwanini hatuna Raisi wetu?

..Tunataka muungano wa HAKI, na kudai hayo haimaanishi tunabagua Wazanzibari.

NB:

..kusema wakati wa Jpm hakukuwa na ubaguzi ni uongo. Jpm aliilenga jamii fulani na chama fulani kwa chuki na ubaguzi.
Hata ndoa zilizotengeneza utu wetu mpaka tumekuwa watu wazima hazina huo usawa na kila siku zinajaa ugomvi na kushikana mashati sembuse nchi yenye watu milioni 64!.

Diversity is our unity, tofauti zetu ndio uimara wetu. Huo muungano unaongelewa kipindi cha rais mzenji akiwa ni msukuma au mkwere mwenzetu hakuna anayeleta tena hizi mada.

SSH ameifikisha reli pale Dodoma na mwishoni mwa mwezi huu lile daraja la Busisi linakwenda kufunguliwa kwa ajili ya kuanza kutumika. Hakuna mradi aliyouacha JPM ambao SSH hataumaliza.
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
Mpaka sasa hujui kuwa tatizo siyo mtu anatoka wapi bali ji mfumo wa chama cha mapinduzi uliohodhi serikali na vyombo vyake? Hata ungekuwa wewe waziri, yanayofanyika sasa yatafanyika na kwenye utawala wako. Sababu siyo utashi wako bali ni mlengo na malengo ya chama.

Bahati mbaya, hata unaodhani ni wapinzani nao ni makada wa ccm. Ndiyo maana miaka 32 ya vyama vingi hakuna la maqna zaidi ya kugawana rasilimali za Taifa
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
kwani hili sio suala la muungano? kama ni la muungano ni sawa tu hata kama atatoka pemba
 
Mawazo ya kindezi ndio haya. Masauni na Samia wote ni watanzania.
Nani kakwambia?

Wanavyo vipanda vua UKAAZI just incase umesahau!

Nitajie mkoa mmoja Tanganyika ambao watu wake wanatamani watu wa mikoa mingine waingie kwa Passport!
- Huko mlikojifunzia na waliosimamia huo muungano, wenyewe hawaukani uasili wao...Scotland, Wales, etc

Samia ni Mzanzibar wa Kizimkazi, na kimsingi Mzanzibar hastahili kushika madaraka ya uraisi wa Jamhuri au wizara zisizo za Muungano!
- Leo, raisi mzanzibari, ulinzi mzanzibari, miundombinu mzanzibari, pengine TISS mzanzibari, polisi mnataka mzanzibari, mkizubaa bunge atakaa mzanzibari....si ajabu 9% ya pato inaenda kwa watu wasiofika 2% ya nchi nzima!
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
Unaonekana una chuki sana na Mama Samia pia lazima wewe ni fukara wa kutupwa
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
"Rais anauburuza mwingi" ovyo kabisa Lile jamaa hata ukilisikiliza muda mwingi linaongea pumba.
 
Hao watu wazuri na waadilifu ulishawaona huko CCM?
 
Nani kakwambia?

Wanavyo vipanda vua UKAAZI just incase umesahau!

Nitajie mkoa mmoja Tanganyika ambao watu wake wanatamani watu wa mikoa mingine waingie kwa Passport!
- Huko mlikojifunzia na waliosimamia huo muungano, wenyewe hawaukani uasili wao...Scotland, Wales, etc

Samia ni Mzanzibar wa Kizimkazi, na kimsingi Mzanzibar hastahili kushika madaraka ya uraisi wa Jamhuri au wizara zisizo za Muungano!
- Leo, raisi mzanzibari, ulinzi mzanzibari, miundombinu mzanzibari, pengine TISS mzanzibari, polisi mnataka mzanzibari, mkizubaa bunge atakaa mzanzibari....si ajabu 9% ya pato inaenda kwa watu wasiofika 2% ya nchi nzima!
Umeshasema ni Rais wa JMT atakosa vipi haki ya kuwa Rais wa nchi hiyo. Hastahili vipi wakati ni Mtanzania.

Hizi ndio akili za kipuuzi za kibaguzi ambazo Nyerere alipambana nazo mwaka ule 1993 mpaka lile kundi la G55 likafa kifo cha asili.

Pato linakwenda kila mahali, huu ujinga wenu wa kibaguzi huwepo wakati wa urais wa mtu wa Zanzibar, akiwa Msukuma au Mkwere mnakaa kimya kabisa. Ni mawazo duni tu.
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
Una fikiria wakiwa wa Tanganyika, ndio Mambo yataenda sawa? Cha msingi ni kuwa na katiba Bora, ambsyo hata akija Adolf Hitler, au Botha, hawawezi kutenda maovu,
Wanaoongoza kwa, kuiba ndani ya bara ni wa Tanganyika, Mkapa aliuza mashirika yote ya umma, na nyumba za, serikali, akajiuzia na ikulu ndogo, JPM ndio alikuwa chinja na jixi
 
Hii ni kwa sababu ya kudhibiti Conflict of interest.

Asikudanganye mtu, Nyumbani ni nyumbani tu, hili tunaliona kwa macho yetu. Huyu Masauni haya anayowafanyia Watanganyika hajawahi kuyafanya kwao wala Pemba, ni lazima tuwe na kiongozi ambaye kabla ya kutenda jambo ajiulize nikirudi nyumbani nitaelewekaje, Watu wa kwao wawe na uwezo wa kumhoji akishastaafu.

Omari Mahita baada ya kustaafu alihojiwa na Wananchi kwa njia mbali mbali kutokana na ukatili wake akiwa madarakani, wako waliomhoji uso kwa uso, na wako waliomhoji kwa kususia kuswali kwenye msikiti alioujenga kwao Morogoro, mpaka naandika hapa msikiti wa Mahita wanazalia popo tu

Huu ndio uwajibikaji wa kuvuna ulichopanda, Sasa mnapokuwa na mtu kutoka Mchambawima ama kibanda maiti aweza kufanya atakavyo kwa vile hakuna Mtanganyika atakayemhoji baada ya kustaafu.
I swear, huomsikiti ungejengwa zama hizi, waumini wangefurika na Mahita angeitwa Alhaji Alwatan Omar bin Mahita. Na chawa wa kutosha
 
Mawazo ya kindezi ndio haya. Masauni na Samia wote ni watanzania.
Kwa taifa moja, hakuna sababu ya kuwa na vitambulisho viwili vya utaifa. Hapo ndipo mkanganyiko unaanzia. Samia na Masauni wana vitambulisho vya taifa la Zanzibar na Tanzania, mimi nina kimoja tu cha Tanzania. Kwa katiba ya Zanzibar, Zanzibar ni nchi kamili.
 
Kwa taifa moja, hakuna sababu ya kuwa na vitambulisho viwili vya utaifa. Hapo ndipo mkanganyiko unaanzia. Samia na Masauni wana vitambulisho vya taifa la Zanzibar na Tanzania, mimi nina kimoja tu cha Tanzania. Kwa katiba ya Zanzibar, Zanzibar ni nchi kamili.
Tuilaumu Geography tuliyoikuta baada ya kuzaliwa. Visiwani na Bara ni Tanzania moja ile ile. Vitambulisho sio ishu sana.

Kuna vile vya afya, kuna vile vya kliniki, kuna vitambulisho vya kila aina vyote vinatumiwa ndani ya Jamhuri ya Tanzania.
 
Mleta mada unatia aibu, acheni ubaguzi, haki haiwezi kupatikanwa kwa kuhubiri ubaguzi.

Kwa haiyo Na rais akiwa Mtanganyika waziri wa mambo ya ndani pia lazima awe Mzanzibari ili nae aweze kudhibiti Conflict of interest?
 
Hata ndoa zilizotengeneza utu wetu mpaka tumekuwa watu wazima hazina huo usawa na kila siku zinajaa ugomvi na kushikana mashati sembuse nchi yenye watu milioni 64!.

Diversity is our unity, tofauti zetu ndio uimara wetu. Huo muungano unaongelewa kipindi cha rais mzenji akiwa ni msukuma au mkwere mwenzetu hakuna anayeleta tena hizi mada.

SSH ameifikisha reli pale Dodoma na mwishoni mwa mwezi huu lile daraja la Busisi linakwenda kufunguliwa kwa ajili ya kuanza kutumika. Hakuna mradi aliyouacha JPM ambao SSH hataumaliza.

..hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni ya muda mrefu sana.

..hoja hiyo ndiyo iliyomuondoa Aboud Jumbe katika Umakamu wa Raisi.

..madai kwamba watu hudai serikali 3 wakati Rais Rais muungano ni Mzanzibari sio ya kweli, kwa kuangazia mfano wa Aboud Jumbe, na mingi mingine.

..Serikali 3 ni hoja inayoungwa mkono na progressives toka pande zote za muungano.

..Wanaopinga serikali 3 ni kikundi kidogo cha wahafidhina walioko CCM. Kikundi hicho hakitaki Katiba iguswe hata kidogo kutokana na hofu ya madaraka yao kuponyoka.
 
Back
Top Bottom