Mjadala wa Bandari za Tanganyika umeongeza nguvu ya kuamini kwamba Mungu wa kweli yu hai jana, leo na hata milele

Mjadala wa Bandari za Tanganyika umeongeza nguvu ya kuamini kwamba Mungu wa kweli yu hai jana, leo na hata milele

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam, Tumsifu kristo na bwana wa majeshi.

Nimekuwa nikitafari sana juu ya waliofanya jambo la kuleta huu mkataba na nimepata kuamini pamoja na watawala wengi kuwa ni wafuasi wa freemasons na illuminati lakini bado nguvu ya Mungu haiteteleki.

Jeuri, kibri, dharau havina nguvu mbele ya Mungu wetu, Mungu wa kweli habagui anampa mtu stahiki yake.

Tuendelee kuamini taifa hili lipo mikononi mwa Mungu na sio kwenye mikono ya watawala wala vyombo vya Dola.

Kwa hii kadhia ya bandari Mungu atawapa adhabu kali sana wenye kumdhihaki.

Tuzidishe maombi

Shukrani 🙏🙏❤️

Wadiz
 
Wasalaam, Tumsifu kristo na bwana wa majeshi.

Nimekuwa nikitafari sana juu ya waliofanya jambo la kuleta huu mkataba na nimepata kuamini pamoja na watawala wengi kuwa ni wafuasi wa freemasons na illuminati lakini bado nguvu ya Mungu haiteteleki...
Yani mnaangaika hizo nguvu zote mgezoelekaza kwenye katiba mpya mgekua na tija kdgo, ila hilo la bandari msitegemee badaliko lolote.
 
Yani mnaangaika hizo nguvu zote mgezoelekaza kwenye katiba mpya mgekua na tija kdgo, ila hilo la bandari msitegemee badaliko lolote.
Wewe kibwengo tu huna lolote, kacheze na hilo bibi lenu toka Suriname huko
 
Yani mnaangaika hizo nguvu zote mgezoelekaza kwenye katiba mpya mgekua na tija kdgo, ila hilo la bandari msitegemee badaliko lolote.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumtukana Raisi ni ishara kwamba umeishia, hiyo sio democracy hata US hawafanyi hivo, wanatoa ushauri na kuka kinmya sio kutukana kiongozi wa nchi.
Acha ujinga nchi gani hio Suriname au, bibi ni bibi tu ikogo hivyo, ni wa kupita huyo apende asipende mwisho 2025. Over
 
Wewe una mental illness wa kumzuia kushinda ni Mungu peke, sio wewe au kanisa lako.
wewe wasema hata mi najua sio kitu, bali andiko langu ni kuhusu Mungu tusubiri Mungu wa kweli habagui na ataamua kweli. Wa mpito ni wa mpito tu. 2025 nchi itaongozwa na mwanaume kivyovyote vile na itakuwa hivyo. Over
 
wewe wasema hata mi najua sio kitu, bali andiko langu ni kuhusu Mungu tusubiri Mungu wa kweli habagui na ataamua kweli. Wa mpito ni wa mpito tu. 2025 nchi itaongozwa na mwanaume kivyovyote vile na itakuwa hivyo. Over
Manabbi wa uongo mmezidi hamna lolote, kwani wewe ndo ulio mtabili kwamba atatawala toa uchezi wako hapo.
 
Wasalaam, Tumsifu kristo na bwana wa majeshi.

Nimekuwa nikitafari sana juu ya waliofanya jambo la kuleta huu mkataba na nimepata kuamini pamoja na watawala wengi kuwa ni wafuasi wa freemasons na illuminati lakini bado nguvu ya Mungu haiteteleki.

Jeuri, kibri, dharau havina nguvu mbele ya Mungu wetu, Mungu wa kweli habagui anampa mtu stahiki yake.

Tuendelee kuamini taifa hili lipo mikononi mwa Mungu na sio kwenye mikono ya watawala Wala vyombo vya Dola.

Kwa hii kadhia ya bandari Mungu atawapa adhabu kali sana wenye kumdhihaki.

Tuzidishe maombi

Shukrani [emoji120][emoji120][emoji3590]

Wadiz
Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manabbi wa uongo mmezidi hamna lolote, kwani wewe ndo ulio mtabili kwamba atatawala toa uchezi wako hapo.
Tuliza makalio na Kaa kitako sisi machifu tunaona msivyoviona nyie ngedere
 
Hivyo tukiwajibika kimaadili, tunaona ni jukumu la serikali kusikiliza wananchi wanaotaka mkataba huu ufutwe. Kwa kuwa tumeonesha kuwa Tanzania tumeshawekeza na kuendeleza bandari, reli na bandari za nchi kavu; niwajibu miradi hii tuiendeshe Watanzania wenyewe huku tukikaribisha ubia tunaoudhibiti wenyewe. Hiki ndicho wananchi wanachokililia kusudi tujenge uwezo wetu wenyewe. Kwa vile tumegundua mapungufu yetu ya uendeshaji wa bandari, tunaweza kujizatiti kurekebisha mapungufu hayo wakati njia za kiuchumi zikibaki mikononi mwetu. Kwa sababu hizo na maelezo yote ya hapo juu, sisi Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania hatuungi mkono Mkataba huu”.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wa kweli akuongeza baraka zake inshallah ❤️❤️❤️🙏🙏🙏
 
Wasalaam, Tumsifu kristo na bwana wa majeshi.

Nimekuwa nikitafari sana juu ya waliofanya jambo la kuleta huu mkataba na nimepata kuamini pamoja na watawala wengi kuwa ni wafuasi wa freemasons na illuminati lakini bado nguvu ya Mungu haiteteleki.

Jeuri, kibri, dharau havina nguvu mbele ya Mungu wetu, Mungu wa kweli habagui anampa mtu stahiki yake.

Tuendelee kuamini taifa hili lipo mikononi mwa Mungu na sio kwenye mikono ya watawala Wala vyombo vya Dola.

Kwa hii kadhia ya bandari Mungu atawapa adhabu kali sana wenye kumdhihaki.

Tuzidishe maombi

Shukrani 🙏🙏❤️

Wadiz
maombi yanahitajika.
 
maombi yanahitajika.
Uliweka rehani ardhi, maji na njia kuu za usafiri, na misitu na mbuga kama vyanzo vya maji ni hatari sana kwa ustawi kimaisha, kiulinzi na kiusalama na kuwa watumwa wa kiuchumi. Kimsingi huyo Bibi yao ameenda kuitisha ukoloni urudi nchini. Jibu ni hapana na hataweza. Masikio jeuri huchimba kaburi la mwenyewe.
 
Uliweka rehani ardhi, maji na njia kuu za usafiri, na misitu na mbuga kama vyanzo vya maji ni hatari sana kwa ustawi kimaisha, kiulinzi na kiusalama na kuwa watumwa wa kiuchumi. Kimsingi huyo Bibi yao ameenda kuitisha ukoloni urudi nchini. Jibu ni hapana na hataweza. Masikio jeuri huchimba kaburi la mwenyewe.
kwanza kuweka reheni misitu kwa mwarabu ambaye hajui nini maana ya majani, tena anayehitaji mbao, unakuwa huna tofauti na mlevi.
 
Back
Top Bottom