Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mtendaji mkuu ni Ma-rope usitegemee mtendaji wa chini yake akawa tofauti!!!Huyu jamaa anaakili kweli? Wenzake wanatoa hoja zenye maana yeye analeta Ubishi kama yupo kijiweni au mlevi kwenye Bar.. Ndio kusema sisiem hawana makini wakuwaweka kwenye hard talks kama zile??
Anaongea ongea tu, contradictions tuuu.. Jaman CCM kuweni makini kwenye masuala muhimu kama haya, toeni viongoz washabiku hawa!! Mwisho tutasema shame on u CCM.
Src: ITV Kipima Joto
.:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
nilikuwa nafuatilia kupitia TV AFRICA,CCM kumruhusu mtu kama tambwe kwenye suala nyeti kama hili la katiba ni dalili tosha kuonyesha kwamba wamelidharau/hawana nia ya kweli ya kubadili katiba,lakini watawala lazma watambue TANZANIA ya leo sio ile ya zidumu fikra za mwenyekiti wanachi wakichoshwa na ubabaishaji unaoendelea TZ haitotawalikabig up mnyika tuelimishe wananchi huo ni mfano wa vijana wa chama namuona tambwe anadesa kwa mnyika kaegesha tumbo tu na anakaribia kupasuka
yanii sisim kama inawatu wa kiivyo basi kwisha habari yake. JAMAA HAMNAZO KABISAAA ETI PROPAGANDA!Huyu jamaa anaakili kweli? Wenzake wanatoa hoja zenye maana yeye analeta Ubishi kama yupo kijiweni au mlevi kwenye Bar.. Ndio kusema sisiem hawana makini wakuwaweka kwenye hard talks kama zile??
Anaongea ongea tu, contradictions tuuu.. Jaman CCM kuweni makini kwenye masuala muhimu kama haya, toeni viongoz washabiku hawa!! Mwisho tutasema shame on u CCM.
Src: ITV Kipima Joto
.:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
Jamani mbona tambwe anaendelea kufutuka tu?? Unene wa aina hiyo siyo kawaida kwa mwanaume mwenye majukumu. Anakula nini huyo mlopokaji??
jamani nilisema kuwa mwenye pumba kati ya makamba na tambwe tambwe ni kiboko! Mmeshuhudia wenyewe!kama tambwe ndio huyo! Jamani nipeni ruhusa nimpongeze makamba! Yeye ni chongo (bora) kati ya vipofu ccm! Kama wamemkubalia tambwe hiza awawakilishe na mwenyewe ndio anasoma katiba wakati mdahalo unaendelea kazi kweli kweli ccm wanayo! Imagine tambwe anam-face sharp mind kama mnyika na dr. Mvungi na mama usu mallya! Hata masako, the moderator anamshangaa tambwe na wapiga simu hawamwelewi! Jamani cuf walitua mzigo ambao ccm waliona mali! Ama kweli wahenga walisema.. Ganda la mua la jana...chungu kajionea kivuno! Chairman mao tse tung alisema, mafisadi waache wanenepiane (kama tambwe) ili siku ya mapinduzi watashindwa kukimbia na itakuwa rahisi kwetu kuwa....
watasema Masako ni chadema!Masako anamwambia haelewi hata maswali. Duh aibu full
Mbona Tambwe kasema kweli; kwani tume iliyoundwa imeundwa kwa ajili ya kufanya nini? Haijaundwa ili kusimamia mchakato wa kuandika Katiba Mpya! Labda msome tena hotuba ya mwaka mpya ya Rais Kikwete. Tambwe yuko sahihi, ndio maana wengine tumeshangaa kwanini tume ya kukusanya maoni inashangiliwa!
Mbona Tambwe kasema kweli; kwani tume iliyoundwa imeundwa kwa ajili ya kufanya nini? Haijaundwa ili kusimamia mchakato wa kuandika Katiba Mpya! Labda msome tena hotuba ya mwaka mpya ya Rais Kikwete. Tambwe yuko sahihi, ndio maana wengine tumeshangaa kwanini tume ya kukusanya maoni inashangiliwa!