Mjadala wa katiba mpya ITV; Mnyika, Tambwe Hizza na Dr. Mvungi

Mjadala wa katiba mpya ITV; Mnyika, Tambwe Hizza na Dr. Mvungi

Ndugu Paulss, Tambwe hakutoa propaganda yoyote pale zaidi ya kuongea km amekatwa kichwa. Hakuwa na substance yoyote pale. Too silly
 
Wana JF nimelazimika kupost thread hii kutokana na kitendo cha Tabwe Hiza kukusa kabisa busara katika mjadala wa leo ITV ulikuwa unahusu katiba mpya.
Tabwe ameonekana kutokujua kitu badala kuendeleza ubishi usio na msingi katika hoja muhimu kama ile kwa mustakabali wa taifa letu. Nashangaa kwa nini CCM hawakumleta Chiligati angalau yeye ana uelewa fulani tofauti na Hiza.
Ikifikia hatua mtu anakueleza Tz ingekuwa na kina Hiza 10 sijui ingekuwaje huko ni kuvuliwa nguo hadharani.
WanaJF isije ikaonekana nina chuki na bwana Hiza lakini leo nimegundua huyu jamaa ana uelewa mdogo mno, mbishi, haambiliki na mtu asiye jali maslahi ya Taifa. Nachelea kusema CUF hawakupoteza chochote kwa kuhama kwake badala yake nawapa pole CCM kwa kukubali zigo ambalo sidhani kama wataliweza.
 
Wanazidi kuwapa nguvu maana hawawezi hata kueleza ni kwa nini tusiwe na katiba mpya. Huwezi kujenga propaganda km huna akili. Propaganda sio kazi ya mtu mjinga kama Tambwe
 
Hizza ni zaidi ya taahira.

Tambwe hiza ni tabularasa kama matabularasa wanaoleta propaganda za maji taka katika maswala muhimu ya Nchi.

Hii ndio picha halisi ya Rais Kikwete kutuma vijana wake wanafikiria kwa kutumia makalio badala la bongo..:frusty::frusty:kaniudhiiiiiiiii


:A S 39:Nadhani nimempasha huyu mshenzi
 
Mheshimiwa JK pole sana unawakati mgumu... hata kukiokoa chama kwa hali hii sijui nani angekiweza... watu wameoza halafu wanahaha kulindana... pole kaka wengi hawaelewi lakini uko kwenye wakati mgumu sana... sidhani kama watu wanaelewa... na mbaya zaidi wengine wamekupania kukumaliza na mengi yanajidhihirisha unakumbuka walipopinga sana swala la katiba kupitiwa? Watu wakajua ni msimamo wako kumbe masikini vijana hawanan nidhamu hata hawasubiri kukuuliza mwenyekiti mtoe msimamo wenu kwa taratibuzenu rasmi wanaanza kuropoka ona sasa umeafiki kupitiwa katiba wanavyohanaika pole saana

Unamaanisha hawa Jamaa c bure watakuwa wamempiga Limbwata Mkuu wa Chama au na yeye ni Jamii ileile hapo cjakupata vzuri Mkuu.
 
Nimefuatilia mjadala wa Katiba uliondaliwa na ITV. Kwa uelewa wangu anachosema Tambwe Hizza ni kwamba JK alichokubali ni wananchi watoe maoni kwa tume kama Katiba mpya inahitajika na sio kwamba mchakato wa kupata Katiba mpya uanze. Nashindwa kumuelewa anachosema ni nini. Sitaki kuamini kwamba haelewi. Inawezekana anatupa ujumbe mzito kwamba alichosema JK ni danganya toto na kitakachofanyika ni ukusanyaji wa maoni na marekebisho madogo ya Katiba.

Kuhusu kushindwa kwake kujenga hoja hakuna haja ya kujadili. Mwenye akili timamu ameshuhudia na kuthibitisha uwezo wake wa kufikiria. Kumjadili ni kupoteza muda. CCM wamemuamini, yeye ndiye anayeweza kuwawakilisha kuhusu suala la Katiba. Kwao ni suala la propaganda zaidi ya maslahi ya Taifa!!
 
Imenistaajabisha sana kwa Tamwe hii leo, mmmh!!!
ni aibu kubwa kwa CCM
 
Amejibu eti jk kakubali wananchi waseme kama kunahaja ya katiba mpya kwa kuunda tume itakayo ratibu kuona kama mapungufu ni mengi basi iundwe mpya na kama ni kidogo ifanyiwe mabadiliko

Ni aibu sana kwa mzee kama huyu kujizalilisha kiasi hicho, kisa anatetea mkate wake, kweli elimu ni muhimu sana.... Kuna mtu aliniambia kuwa ccm hawapendi wasomi kwa kuwa siyo watu ambao unaweza kuwapelekesha hovyo kama awa akina Tambwe.
 
T Hiza achefuwa wasikilizaji, wengi wa watu walopiga simu wameonesha dhahiri kukelwa na huyu mwana propaganda. Ccm jamani mjidhatiti mtakuja anguka kama Russia, jitu kubwa lililoanguka bila ya kuwa na kishindo inachekesha. Tehe teheeee; huyo ndo ameonekana kuwa ni kipanga ndani ya safu ya mzee m...mba, akaamua kumpangia kuwakilisha chama; tihi tihiiiiiiii. Sikio la kufa ........
 
Tabula rasa per excellence chief. Yani kichwa yake ni kama plain paper inasubiri kuandikwa kitu yenye substance. Nimeipenda
 
Sijui kwanini tambwe na Makamba wasianzishe chama chao Tambwe awe mwenyekiti na Makamba katibu.
 
Imenistaajabisha sana kwa Tamwe hii leo, mmmh!!!
ni aibu kubwa kwa CCM
Yaani ni kama alikurupushwa kuja kuongea pale, hakuwa na muelekeo aongee nini aache nini! Naungana nawe ni aibu kubwa kwa CCM kuwa na naibu wa propaganda kama yule.
 
Watanzania wenzetu sasa mnaona huu undumlakuwili waKikwete na kauli yake juu ya joto kali nchini kutaka katiba mpya??

Ukweli ndio huo ambao mjuumbe wake Tambwe Hiza kauweka wazi insensitively bila kutabiri matokeo yake. Lazima tukatae hizi ghiliba, na hakuna wa kutuzuia kuandika katiba mpya.

Kikwete hakukubali Katiba alikubali maoni ambayo atayachezea yaendane maoni ya mafisadi.
 
Back
Top Bottom