mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,003
Mzee Mwanakijiji ni heri yako uliyeumis maana Tambwe kachafua masikio ya watu, yaani paka masako amekasirika na kumwambia mtu mwenye elimu ya kawaida tu anaweza kuelewa kinachosemwa na watu lakini Tambwe haelewi kitu. Toka mwanzo wa mjadala Watu wanaeleza mapungufu ya katiba lakini tambwe anasema hajasikia mapungufu yakitajwa na anasema ameangalia mdahalo wa UDASA nao pia hakuna mtu aliyetoa mapungufu ya katiba.
Kweli Tambwe Anahitaji darubini kuutazama mlima kilimanjaro!
Kweli Tambwe Anahitaji darubini kuutazama mlima kilimanjaro!