Mjadala wa kihistoria: Je, Ishmael na Mdogo wake Isaka Walionana tena baada ya Kifo cha Babayao Mzee Ibrahim?

Mjadala wa kihistoria: Je, Ishmael na Mdogo wake Isaka Walionana tena baada ya Kifo cha Babayao Mzee Ibrahim?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Naleta mjadala huu ambao naamini ni wa kihistoria na utachangiwa na Wasomi wetu lukuki waliojaa ndani ya Jamii Forum

Inajulikana kuwa Ishmael na Mdogo wake Isaka walikutana pamoja kwa ajili ya Maziko ya babayao Mzee Ibrahim

Baada ya hapo hakuna kumbukumbu ya maisha ya hao ndugu kama waliweza kukutana ama kuishi kwa kushirikiana.

Naomba Wasomi Wetu mtujuze

NB: Angalizo kwa yeyote atakayekubali dhihaka za kidini
 
Sijajua sana Kwa ufahamu wangu ngoma iliishia pale pale Kila mtu akaendelea na mishe zake Kwa sisi tunaofuatilia maandiko kidogo hasa bibilia sijaiona historia ya Ishmael, kwakuwa wajuzi wako humu watujuze zaidi
 
Back
Top Bottom