Mjadala wa kihistoria: Je, Ishmael na Mdogo wake Isaka Walionana tena baada ya Kifo cha Babayao Mzee Ibrahim?

Mjadala wa kihistoria: Je, Ishmael na Mdogo wake Isaka Walionana tena baada ya Kifo cha Babayao Mzee Ibrahim?

Uwe na akiba ya Maneno siku utakaposimamishwa uchi wa mnyama mbele ya Mola wako,sababu hakuna dogo wala kubwa litakalofichikana mbele yake.Siku zote wenye Elimu ya Dini huogopa kuwakashifu au kuwatukana Mitume wa Mwenyezi Mungu,ni kujitakia laana ya bure hapa duniani na kesho Akhera
Nilikuwa muislamu nasasa Ni Mkristo Messianic faith,

Naujua uislamu vzr,

Huwez kunitisha maana maandiko yananipa mandate ya kuwachunguza manabii Kama wa kweli au matapeli


Mimi kwangu Muhammad Ni tapeli tu, Hakuna manabii wanaotumwa na Mungu wakapingana kimafundisho,

Cha ajabu Muhammad yupo tofauti kimafundisho hata upewaji wake wa utume na manabii wote Kama kina Hosea,Eliya, Daniel ,Ezekiel,Yohana,n.k

Inatakiwa uje na hoja kunithibitishia kuwa Muhammad Ni mtume wa Mungu,

Niliwahi kumwambia muumin wa mwamposa ,kuwa mwamposa Ni tapeli na nabii wa uongo ,akanipa vitisho Kama vyako,

Nilibaki nacheka tu
 
Mwanzo 25:8-9
[8]Ibrahimu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.
Then Abraham gave up the ghost, and died in a good old age, an old man, and full of years; and was gathered to his people.
[9]Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango ya Makpela, katika shamba la Efroni bin Sohari Mhiti, lielekealo Mamre.
And his sons Isaac and Ishmael buried him in the cave of Machpelah, in the field of Ephron the son of Zohar the Hittite, which is before Mamre;
 
Mwanzo 25:8-9
[8]Ibrahimu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.
Then Abraham gave up the ghost, and died in a good old age, an old man, and full of years; and was gathered to his people.
[9]Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango ya Makpela, katika shamba la Efroni bin Sohari Mhiti, lielekealo Mamre.
And his sons Isaac and Ishmael buried him in the cave of Machpelah, in the field of Ephron the son of Zohar the Hittite, which is before Mamre;
Thread closed.
 
Uwe na akiba ya Maneno siku utakaposimamishwa uchi wa mnyama mbele ya Mola wako,sababu hakuna dogo wala kubwa litakalofichikana mbele yake.Siku zote wenye Elimu ya Dini huogopa kuwakashifu au kuwatukana Mitume wa Mwenyezi Mungu,ni kujitakia laana ya bure hapa duniani na kesho Akhera
Kusimamishwa uchi tena mzee 😳😳? Haya ni maarifa mapya 🤣🤣🤣!
 
Kusimamishwa uchi tena mzee 😳😳? Haya ni maarifa mapya 🤣🤣🤣!
Hiyo Elimu hamna,na huyo mnayemsema vibaya ndiyo aliyetupa hiyo Elimu,tutafufuliwa tukiwa uchi wa mnyama,kutokana na hiyo siku kuwa nzito au ngumu,hakuna mtu atakayekuwa na mda wa kumchungulia mwenzake,awe baba yako dada yako au mkwe wako.Mungu ndiye anayejua zaidi na Mtume wake
 
Hiyo Elimu hamna,na huyo mnayemsema vibaya ndiyo aliyetupa hiyo Elimu,tutafufuliwa tukiwa uchi wa mnyama,kutokana na hiyo siku kuwa nzito au ngumu,hakuna mtu atakayekuwa na mda wa kumchungulia mwenzake,awe baba yako dada yako au mkwe wako.Mungu ndiye anayejua zaidi na Mtume wake
Tatizo huyo Allah, mbingu yenu aliyowasimulia mtume wenu ni physical, ndio maana kuna mito ya pombe na mabikra kedekede, kwahiyo sishangai inavyonihubiria mambo ya nyuchi hapa.
 
Tatizo huyo Allah, mbingu yenu aliyowasimulia mtume wenu ni physical, ndio maana kuna mito ya pombe na mabikra kedekede, kwahiyo sishangai inavyonihubiria mambo ya nyuchi hapa.sa

Tatizo huyo Allah, mbingu yenu aliyowasimulia mtume wenu ni physical, ndio maana kuna mito ya pombe na mabikra kedekede, kwahiyo sishangai inavyonihubiria mambo ya nyuchi hapa.
Kama Mungu wako alikufanya uzariwe bila nguo,unategemea atakufufua na hizo suti mnazozikwa nazwa,
la hasha ndugu yangu,utafufuliwa kama ulivyozaliwa,na peponi hakutakuwa na mzee wote watakuwa vijana,na tutaishi kimwili kama mili yetu ya Duniani.

Tutakula na kunywa kama kawaida,na tendo la ndoa litaendelea,kama mkeo utabahatika kuwa nae peponi basi ndoa itaendelea kama kawaida,kunya na kukojoa hakutakuwepo,watu watajisaidia kwa kutoa jasho,Mengine Mungu na Mtume wake ndiyo wanaojua zaidi
 
Tatizo Muhammad hatambuliki Kama Ni mtume

Utume wake una utata sana, halafu manabii wote walitoka kizaz Cha Isaka ,

Huyu Muhammad hata kimafundisho yupo tofauti na manabii waliopita Kama kina Isaya,Eliya,samweli,Daniel,Ezekiel,n.k

Yaan Muhammad alikuja na taratibu na sheria zake ,hata mafundisho haijulikan aliyaokota wapi
Ficha ujinga wako.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naleta mjadala huu ambao naamini ni wa kihistoria na utachangiwa na Wasomi wetu lukuki waliojaa ndani ya Jamii Forum

Inajulikana kuwa Ishmael na Mdogo wake Isaka walikutana pamoja kwa ajili ya Maziko ya babayao Mzee Ibrahim

Baada ya hapo hakuna kumbukumbu ya maisha ya hao ndugu kama waliweza kukutana ama kuishi kwa kushirikiana.

Naomba Wasomi Wetu mtujuze

NB: Angalizo kwa yeyote atakayekubali dhihaka za kidini
Mkuu hizi ni fairytales tu (hadithi), usizitilie maanani hata kidogo. Ukijuwa historia ya dini ndipo utajuwa namaanisha nini. Ingekuwa ukweli kina T.B. Joshua na Mwamposa wasingekuwa wanachota watu akili kwa kuwadanganya kama watoto wadogo.
 
Wewe ni mnywa damu ya Yesu??
Ndiyo.

"Mimi ndimi chakula cha chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu."
...

"Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli. Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake"

YOHANA 6:51, 55-56


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Je, unaamini Biblia ni neno la Mungu,? Na je huwa unaisoma na kuielewa?. Kama mambo hayo mawili huyafanyi ungetulia tu mkuu.


JESUS IS SAVIOR
Huo ndio ukweli,kwani Biblia haijatueleza Kama Ishmael ndio mtoto wa kwanza wa Ibrahim aliyezaa na kijakazi?
 
Back
Top Bottom