Mjadala wa kihistoria: Je, Ishmael na Mdogo wake Isaka Walionana tena baada ya Kifo cha Babayao Mzee Ibrahim?

Mjadala wa kihistoria: Je, Ishmael na Mdogo wake Isaka Walionana tena baada ya Kifo cha Babayao Mzee Ibrahim?

Wadau hamjamboni nyote?

Naleta mjadala huu ambao naamini ni wa kihistoria na utachangiwa na Wasomi wetu lukuki waliojaa ndani ya Jamii Forum

Inajulikana kuwa Ishmael na Mdogo wake Isaka walikutana pamoja kwa ajili ya Maziko ya babayao Mzee Ibrahim

Baada ya hapo hakuna kumbukumbu ya maisha ya hao ndugu kama waliweza kukutana ama kuishi kwa kushirikiana.

Naomba Wasomi Wetu mtujuze

NB: Angalizo kwa yeyote atakayekubali dhihaka za kidini
Ismail inasadikika yupo upande ule wkt mwenzake aliamua kuwa upande wetu!
Japo pia inasadikika kuwa wale mapacha wawili wenye fujo(Esau na Yakobo),yule aliyeuza urithi wake kwa ugali yupo kule wakati yule aliyeununua yupo huku kwetu.

Kujibu swali nikwamba hawajawahi kukutana japo kosa linaweza kuwa la baba yao kabla hajafa.

Mawazo ya wajumbe yaheshimiwe.
 
Ismail inasadikika yupo upande ule wkt mwenzake aliamua kuwa upande wetu!
Japo pia inasadikika kuwa wale mapacha wawili wenye fujo(Esau na Yakobo),yule aliyeuza urithi wake kwa ugali yupo kule wakati yule aliyeununua yupo huku kwetu.

Kujibu swali nikwamba hawajawahi kukutana japo kosa linaweza kuwa la baba yao kabla hajafa.

Mawazo ya wajumbe yaheshimiwe.
Aliyeuza Ni Esau,aliyenunua Ni Jacob,na baadae ndio akawa Israel .
 
Kutokana na michango ya watoa maada hapo ndipo utakapojua ni ipi Dini ya Ukweli na upendo na ipi ni Dini ya Uongo na fujo,kuna upande mda wote wao ni wastarabu hutakuja kuona wanambagua Mtume yeyote yule,hii yote ni kutokana na Elimu ya Dini waliyokuwa nayo kutoka kwa Mwenyezi Mungu kupitia Mtume wao Muhamad (S.A.W)
 
Mada fikirishi,kiufupi Bible haijaandika kila kitu ,yawezekana walikutana
 
Mwendelezo wa Ishmael upo kwa waislam
Hawana ,wanabumbabumba kwa kuokoteza kutoka biblia

Hawawez kukupa vizazi vya ishameli, wala kukuelezea waarabu wanapatikanaje kupitia ishamel

Pia hawawez kukuambia Muhammad anatokea ukoo gan au kwa mtoto gan wa ishamel

Lakin ukija kwa Isaka ,unaupata ukoo wake wote , ukitaka kujua kizazi Cha Yesu unakipata kupitia Isaka kwa mtiririko wote,
 
Hawana ,wanabumbabumba kwa kuokoteza kutoka biblia

Hawawez kukupa vizazi vya ishameli, wala kukuelezea waarabu wanapatikanaje kupitia ishamel

Pia hawawez kukuambia Muhammad anatokea ukoo gan au kwa mtoto gan wa ishamel

Lakin ukija kwa Isaka ,unaupata ukoo wake wote , ukitaka kujua kizazi Cha Yesu unakipata kupitia Isaka kwa mtiririko wote,
Kiukweli nimesoma baadhi ya maelezo Yao naona mengi Kama wameyatoa kwa wakristo.
 
Kutokana na michango ya watoa maada hapo ndipo utakapojua ni ipi Dini ya Ukweli na upendo na ipi ni Dini ya Uongo na fujo,kuna upande mda wote wao ni wastarabu hutakuja kuona wanambagua Mtume yeyote yule,hii yote ni kutokana na Elimu ya Dini waliyokuwa nayo kutoka kwa Mwenyezi Mungu kupitia Mtume wa Muhamad (S.A.W)
Tatizo Muhammad hatambuliki Kama Ni mtume

Utume wake una utata sana, halafu manabii wote walitoka kizaz Cha Isaka ,

Huyu Muhammad hata kimafundisho yupo tofauti na manabii waliopita Kama kina Isaya,Eliya,samweli,Daniel,Ezekiel,n.k

Yaan Muhammad alikuja na taratibu na sheria zake ,hata mafundisho haijulikan aliyaokota wapi
 
Hao nao mbona kama wana mambo ya kike, ina maana wamenuniana hawataki kuonana.?
 
Kiukweli nimesoma baadhi ya maelezo Yao naona mengi Kama wameyatoa kwa wakristo.
Tena inaonesha aliyekuwa anampa hint za kwenye biblia alikuwa Hana Elimu na uelewa ,wamechanganya changanya sana

QURAN VS BIBLE

Hivi nani aliambiwa na waisraeli awatengenezee sanamu waliabudu kuwa ni mungu wao?

BIBLIA (HARUNI)

1 Hata watu walipoona ya kuwa Musa amekawia kushuka katika mlima, wakakusanyana wakamwendea Haruni, wakamwambia, Haya! Katufanyizie miungu itakayokwenda mbele yetu, kwa maana Musa huyo aliyetutoa katika nchi ya Misri hatujui yaliyompata.
Kutoka 32:1

2 Haruni akawaambia, Zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu, mkaniletee.
Kutoka 32:2

3 Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
Kutoka 32:3

QURAN (NABII MUSA)

Quran 7:138.
Na tukawavusha bahari Wana wa Israili, wakafika kwa watu wanao abudu masanamu yao. Wakasema: Ewe Musa! Hebu tufanyie na sisi miungu kama hawa walivyo kuwa na miungu. Musa akasema: Hakika nyinyi ni watu msio jua kitu.
 
Sjui kwann hampend kuelewa mnayoambiwa.

Ibrahimu huyo mnaemsoma ktk biblia hana ushahidi wowote wa kihistoria na kisayansi kuwa aliwai kuwepo wala nduguze na blood line yake haijawai kuthibitishwa kuwepo zaidi ya nadharia za kutungwa za wazungu/waarabu.

Kama ibrahimu alizaa na kijakazi wake wa kutoka misri(africa ya kale ya watu weusi)/basi huyo mtoto alitakiwa kuzaliwa kama chotara mtu mweusi kama asili ya wamisri weusi wa kale walivyokuwa na asili ya huyo ibrahimu mweupe, na kwakuwa ibrahimu alipata watoto zaid ya mmoja yaan ishmail na isaca, itoshe kusema isaca hakuwa mwana wa pekee kwa ibrahimu maana ibrahimu alipata watoto zaid ya mmoja.

Kama mwana wa kwanza wa ibrahimu alikuwa chotara ama mtu mweusi (ishmael) je inawezekana vipi aje awe uzao wa waarabu na sio chotara ama watu weusi dam mchanganyiko?.

Hizo dini zenu mmepigwa hazina ukwel hazijui chochote, ni muda wa waafrika kuamka na kutafakari undani wa historia ya dunia.

Hizi dini zenu hazina muda mrefu tangu zianzishwe sasa znaweza vip kujua mambo ya zamani wakat kihistoria ukristo na uislam hazina miaka zaidi ya1700 tangu zianzishwe maana kuna wapuuzi wanajua kuwa hizo dini zilikuwepo tangu zaman , kumbe ni uhuni wa watu weupe kutunga historia za uongo walizocopy barani africa baada ya kuona mtu mweusi ana background nzuri.

Ishmael&isaca na hao characters wenu wa vitabu vya dini hawapo na hawajawai kuwepo na hawatowai kuwepo maana nje ya vitabu vya dini hakuna ukweli mnaoweza kuthibitisha
1649584394402.jpg
 
Hao nao mbona kama wana mambo ya kike, ina maana wamenuniana hawataki kuonana.?
MUNGU aliweka ahad kupitia Isaka na uzao wake,

Kupitia humo ndipo mwanadamu ataokolewa ,kupitia humo ndipo had anatokea Yesu ,

Hivo wokovu unapitia kwa Isaka ,ndio maana Yesu alisema


WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI

hivo ishamel Hana umuhimu Tena kwenye Safari ya wokovu, ndio maana habari zake hazina nguvu au mashiko kwenye biblia
 
Tatizo Muhammad hatambuliki Kama Ni mtume

Utume wake una utata sana, halafu manabii wote walitoka kizaz Cha Isaka ,

Huyu Muhammad hata kimafundisho yupo tofauti na manabii waliopita Kama kina Isaya,Eliya,samweli,Daniel,Ezekiel,n.k

Yaan Muhammad alikuja na taratibu na sheria zake ,hata mafundisho haijulikan aliyaokota wapi
Uwe na akiba ya Maneno siku utakaposimamishwa uchi wa mnyama mbele ya Mola wako,sababu hakuna dogo wala kubwa litakalofichikana mbele yake.Siku zote wenye Elimu ya Dini huogopa kuwakashifu au kuwatukana Mitume wa Mwenyezi Mungu,ni kujitakia laana ya bure hapa duniani na kesho Akhera
 
Back
Top Bottom