Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
- Thread starter
- #101
Wewe wajiua vema hiyo aya hebu tupe tafsiri yakeWewe ni KOT(Kilaza Of all Time) kwa daraja la ujinga uliofikia ndio maana watu wanakupuuza wanajua wanazungumza na mtu ambaye kichwani hamna kitu.
Qur'an haichambuliwi kama gazeti kama unasoma gazeti ndio maana kuna elimu na vitabu kuhusu Exegesis of Qur'an ili kujua essence of verses kwa hiyo nakushauri jaribu kuficha ujinga wako soma vitabu vya uchambuzi kama Tafsir ya Ibn kathir kabla ya kupost..