Nimetoka form four,nikaenda DIT,nikapiga diploma,nikapiga bachelor in engineering,Sasa hv ni professional engineer!!nimeishapitq makampuni SITA,nimefanya renewable energy system,wimax,and wifi system,power and switchgear,generator controller na plc,HVAC system,BMS system,bas system,waste water system,System za kuchakata maji kama za dawasa,
Sasa suoni nilichokosa kwa kutoenda six.
College au high-level,inategemea wewe unataka Nini,
Nikiwa DIT,kulikuwa na kijana Mmoja,alitoka veta,akajiunga FTC,asome telecommunications,alikuwa mzuri sana kwenye electronics,tv,redio,electronics system alikuwa ana repair vzr sana,alikuwa anawasaidia hata watu wa degree kuandaa proto type,kwenye mitiani alikuwa hakai zaidi ya dk 45,alifaulu vzr ftc,chuo kikamtaka abaki asomeshwe degree aje awe recturer,akasema yeye haitaj degree,Wala kuajiliwa alitqka aongeze ujuzi TU wa diploma,ili akaendeshe workshop yake,na kuvumbua vitu na projects kibao,
Sasa hv,yupo mbali sana.