Happiness Essau
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 166
- 100
Hiyo pesa ni kweli, unaweza kutembelea website ya manispaa kwa ufafanuzi zaidi. Na taarifa ya miradi utaipata huko pia. Isipokuwa hizo pesa hazihusishi stand na soko ndiyo sababu sijazileta hapaDada haya yanayosemwa ya tangazo la Ded ni kweli juu ya pesa 1.6bn kwa ajiri ya miradi, ni miradi gani hiyo iliyokusudiwa na mbona hata wewe mwenyewe hujawahi kutuweka wazi hapa kwenye bango lenu la Tushirikishane ili Tushirikishane?
Hiyo pesa ni kweli, unaweza kutembelea website ya manispaa kwa ufafanuzi zaidi. Na taarifa ya miradi utaipata huko pia. Isipokuwa hizo pesa hazihusishi stand na soko ndiyo sababu sijazileta hapa
Sawa kwa ufafanuzi ila website yao haioneshi miradi kusudiwa zaidi ya stori za jujuu
[emoji4]
Kwa hiyo mnaanza lini au mtazilakwa mujibu wa tovuti ya halmashauri Announcement | Bukoba Municipal Council kuna hii tarifa na katika miradi inayokusudiwa ni stand na soko sasa sijui kwanini kinawashinda kujua tarehe ya ujenzi au hizi hela wamepeleka kwenye mambo mengine
Tangazo kwa wananchi wote
12 April 2017
Yah: TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA TZSHS.l,684,741,848.20
Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba imepokea jumla ya shilingi bilioni moja mia sita themanini na nne milioni laki
saba arobaini na moja elfu mia nane arobaini na nane senti lshirinitu (1,684,741,848.20), kwa ajili ya utekelezaji wa
miradi ya uboreshaji Miji (ULGSP). Fedha hizo zitatumiwa kwa ajili ya miradi iliyokusudiwa.
MKURUGENZI WA MANSIPAA
BUKOBA
Ehh kwani kuna tatizo gani kubwa linalotuaibisha bukoba kama stendi,soko na barabara zilizo chini ya viwango mnataka kulipa mishahara kwanza na posho?Hiyo pesa ni kweli, unaweza kutembelea website ya manispaa kwa ufafanuzi zaidi. Na taarifa ya miradi utaipata huko pia. Isipokuwa hizo pesa hazihusishi stand na soko ndiyo sababu sijazileta hapa
[emoji4]
[emoji12] [emoji12]Kwa hiyo mnaanza lini au mtazila
We unaleta siasa kwani CCM wameongoza manispaa kwa muda gani? Walifanya niniHawa ndo viongozi waliochaguliwa. Hajabu hata kwenye mitandao haimo, kwenye tovuti za mbunge na meya wake wala hata hayasemwi. Hawa jamaa ni shida sana hapo manispaa, tena naamini ingekuwa ni wa CCM zingepewa hata 3bn sema ni upinzani anapewa nusu ya wenzao. We need development not politicizing. Let's vote for those who can make us receive enough fund to finance our projects and settle our plans.
Siasa zishabadilika mkuu, huoni hata CCM wenyewe hawaamini kinachowatokea? JPM ana sera yake nje ya chama lakini kupitia chama. Nisikuchoshe sana, kama unaifurahia hari iliyoko endelea kuogeleaWe unaleta siasa kwani CCM wameongoza manispaa kwa muda gani? Walifanya nini
Hii ni stendi ? Hivi kwa nini msitembee mikoa mingine muangalie stendi zinavyofanana mfano kwa mwanza tafuta stendi ya kona ya bwiru uone stendi zilivyo kwa hadhi ya kemondoStand Mpya ya Mabasi Kemondo
Nina habari njema kwako; inafuata hapo chiniHivi kwa nini thread hii haichangamuki? Ukimya Wa wanakagera ndio unafanya miradi isitekelezwe kwa haraka tubalike
Kwa hapo tunashukuru,ila wasitengeneze nusu barabara lami ifike kwenye majengo na mitaro itengenezwe vizuri na kuwekewa kalvati nZr ikiwezekana wafunue barabara zote mjini kati na zitengenezwe kama kashozi road ilivyo au ile ya rwamishenye ili kuondoa vumbi na kufanya bk kuwa modern hapo nitafurahi sanaUkarabati wa Barabara Eneo la Stand Kuu ya Mabasi
Pichani ni karabati wa barabara eneo la stand kuu ya mabasi ukiendelea. Eneo hilo limekua na hali mbaya na kutopitiki kwa muda mrefu sasa kutokana na kuwa na mashimo mengi na makubwa yaliyokua yakisababisha picha mbaya ya mji. Aidha, mashimo hayo yalitokea miezi michache tu baada ya ukarabati wa mwisho wa barabara hiyo kufanyika hapo mwaka jana na yamechukua muda mrefu kidogo kushughulikiwa.
Ninapongeza jambo hili. Na nimatarajio yangu kuwa ukarabati wa sasa utakuwa wa tija!
Kinatengenezwa kipande kidogo kwanza lakini mashimo yapo mpaka Rwamisenye. Barabara ya Kashura pia imeathirika sana na mashimo. Kwa kifupi barabara zote kuu zinazoingia mjini zimeathiriwa na mashimo isipokua ya KashoziKwa hapo tunashukuru,ila wasitengeneze nusu barabara lami ifike kwenye majengo na mitaro itengenezwe vizuri na kuwekewa kalvati nZr ikiwezekana wafunue barabara zote mjini kati na zitengenezwe kama kashozi road ilivyo au ile ya rwamishenye ili kuondoa vumbi na kufanya bk kuwa modern hapo nitafurahi sana
Unaweza ukanieleza ujenzi Wa stendi unaanza lini maana hata kama barabara hiyo itatengenezwa wingi Wa magari ya kutoka stendi,miundombinu mibaya ya maji toka stendi barabara itaharibika tu baada ya muda mfupi una habari yayote kuhusu stendiKinatengenezwa kipande kidogo kwanza lakini mashimo yapo mpaka Rwamisenye. Barabara ya Kashura pia imeathirika sana na mashimo. Kwa kifupi barabara zote kuu zinazoingia mjini zimeathiriwa na mashimo isipokua ya Kashozi
Hii stendi hivi ikitengenezwa ikafanywa itavutia wawekezaji kujenga karibu na hapoStand Mpya ya Mabasi Kemondo
Wanahitaji kupanua mjiUnaweza ukanieleza ujenzi Wa stendi unaanza lini maana hata kama barabara hiyo itatengenezwa wingi Wa magari ya kutoka stendi,miundombinu mibaya ya maji toka stendi barabara itaharibika tu baada ya muda mfupi una habari yayote kuhusu stendi
Mimi naona stendi ikishatolewa hapo na kuelekeza kyakairabwa mji utapanuka tu tena mji umeshaanza kufika hiko kabla stendi haijawekwa pia usafiri ukiwa mzr toka sehemu za mbali kama kisindi,ihungo,kahororo,itahwa na katoma mji utapanuka tu maana baada ya tetemeko na mafuriko watu wanatafuta sehemu salama za kujenga.Wanahitaji kupanua mji