TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

Dada haya yanayosemwa ya tangazo la Ded ni kweli juu ya pesa 1.6bn kwa ajiri ya miradi, ni miradi gani hiyo iliyokusudiwa na mbona hata wewe mwenyewe hujawahi kutuweka wazi hapa kwenye bango lenu la Tushirikishane ili Tushirikishane?
Hiyo pesa ni kweli, unaweza kutembelea website ya manispaa kwa ufafanuzi zaidi. Na taarifa ya miradi utaipata huko pia. Isipokuwa hizo pesa hazihusishi stand na soko ndiyo sababu sijazileta hapa

[emoji4]
 
Hiyo pesa ni kweli, unaweza kutembelea website ya manispaa kwa ufafanuzi zaidi. Na taarifa ya miradi utaipata huko pia. Isipokuwa hizo pesa hazihusishi stand na soko ndiyo sababu sijazileta hapa
Sawa kwa ufafanuzi ila website yao haioneshi miradi kusudiwa zaidi ya stori za jujuu

[emoji4]
 
kwa mujibu wa tovuti ya halmashauri Announcement | Bukoba Municipal Council kuna hii tarifa na katika miradi inayokusudiwa ni stand na soko sasa sijui kwanini kinawashinda kujua tarehe ya ujenzi au hizi hela wamepeleka kwenye mambo mengine

Tangazo kwa wananchi wote
12 April 2017


Yah: TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA TZSHS.l,684,741,848.20

Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba imepokea jumla ya shilingi bilioni moja mia sita themanini na nne milioni laki

saba arobaini na moja elfu mia nane arobaini na nane senti lshirinitu (1,684,741,848.20), kwa ajili ya utekelezaji wa

miradi ya uboreshaji Miji (ULGSP). Fedha hizo zitatumiwa kwa ajili ya miradi iliyokusudiwa.



MKURUGENZI WA MANSIPAA

BUKOBA
Kwa hiyo mnaanza lini au mtazila
 
Hiyo pesa ni kweli, unaweza kutembelea website ya manispaa kwa ufafanuzi zaidi. Na taarifa ya miradi utaipata huko pia. Isipokuwa hizo pesa hazihusishi stand na soko ndiyo sababu sijazileta hapa

[emoji4]
Ehh kwani kuna tatizo gani kubwa linalotuaibisha bukoba kama stendi,soko na barabara zilizo chini ya viwango mnataka kulipa mishahara kwanza na posho?
 
Hawa ndo viongozi waliochaguliwa. Hajabu hata kwenye mitandao haimo, kwenye tovuti za mbunge na meya wake wala hata hayasemwi. Hawa jamaa ni shida sana hapo manispaa, tena naamini ingekuwa ni wa CCM zingepewa hata 3bn sema ni upinzani anapewa nusu ya wenzao. We need development not politicizing. Let's vote for those who can make us receive enough fund to finance our projects and settle our plans.
We unaleta siasa kwani CCM wameongoza manispaa kwa muda gani? Walifanya nini
 
We unaleta siasa kwani CCM wameongoza manispaa kwa muda gani? Walifanya nini
Siasa zishabadilika mkuu, huoni hata CCM wenyewe hawaamini kinachowatokea? JPM ana sera yake nje ya chama lakini kupitia chama. Nisikuchoshe sana, kama unaifurahia hari iliyoko endelea kuogelea
 
Stand Mpya ya Mabasi Kemondo

ac041b84aad3c073be3f5201edf1c0f2.jpg
 
Hivi kwa nini thread hii haichangamuki? Ukimya Wa wanakagera ndio unafanya miradi isitekelezwe kwa haraka tubalike
 
Ukarabati wa Barabara Eneo la Stand Kuu ya Mabasi

9d8b4cff79c23a9b6df4a0c6947cf6b7.jpg
f423ec2c3e1e78ecda0e5a5eebea47f6.jpg
52cdb27796ce570c96a8bb8b337497d0.jpg
8ae91ecc5ccdb550991d8fef00cb152d.jpg
5dabea5de75ebc292d2fc74cf72873ab.jpg
9c3140f824f47fabd7f49d0f0b66834d.jpg


Pichani ni karabati wa barabara eneo la stand kuu ya mabasi ukiendelea. Eneo hilo limekua na hali mbaya na kutopitiki kwa muda mrefu sasa kutokana na kuwa na mashimo mengi na makubwa yaliyokua yakisababisha picha mbaya ya mji. Aidha, mashimo hayo yalitokea miezi michache tu baada ya ukarabati wa mwisho wa barabara hiyo kufanyika hapo mwaka jana na yamechukua muda mrefu kidogo kushughulikiwa.

Ninapongeza jambo hili. Na nimatarajio yangu kuwa ukarabati wa sasa utakuwa wa tija!
 
Ukarabati wa Barabara Eneo la Stand Kuu ya Mabasi

9d8b4cff79c23a9b6df4a0c6947cf6b7.jpg
f423ec2c3e1e78ecda0e5a5eebea47f6.jpg
52cdb27796ce570c96a8bb8b337497d0.jpg
8ae91ecc5ccdb550991d8fef00cb152d.jpg
5dabea5de75ebc292d2fc74cf72873ab.jpg
9c3140f824f47fabd7f49d0f0b66834d.jpg


Pichani ni karabati wa barabara eneo la stand kuu ya mabasi ukiendelea. Eneo hilo limekua na hali mbaya na kutopitiki kwa muda mrefu sasa kutokana na kuwa na mashimo mengi na makubwa yaliyokua yakisababisha picha mbaya ya mji. Aidha, mashimo hayo yalitokea miezi michache tu baada ya ukarabati wa mwisho wa barabara hiyo kufanyika hapo mwaka jana na yamechukua muda mrefu kidogo kushughulikiwa.

Ninapongeza jambo hili. Na nimatarajio yangu kuwa ukarabati wa sasa utakuwa wa tija!
Kwa hapo tunashukuru,ila wasitengeneze nusu barabara lami ifike kwenye majengo na mitaro itengenezwe vizuri na kuwekewa kalvati nZr ikiwezekana wafunue barabara zote mjini kati na zitengenezwe kama kashozi road ilivyo au ile ya rwamishenye ili kuondoa vumbi na kufanya bk kuwa modern hapo nitafurahi sana
 
Kwa hapo tunashukuru,ila wasitengeneze nusu barabara lami ifike kwenye majengo na mitaro itengenezwe vizuri na kuwekewa kalvati nZr ikiwezekana wafunue barabara zote mjini kati na zitengenezwe kama kashozi road ilivyo au ile ya rwamishenye ili kuondoa vumbi na kufanya bk kuwa modern hapo nitafurahi sana
Kinatengenezwa kipande kidogo kwanza lakini mashimo yapo mpaka Rwamisenye. Barabara ya Kashura pia imeathirika sana na mashimo. Kwa kifupi barabara zote kuu zinazoingia mjini zimeathiriwa na mashimo isipokua ya Kashozi
 
Kinatengenezwa kipande kidogo kwanza lakini mashimo yapo mpaka Rwamisenye. Barabara ya Kashura pia imeathirika sana na mashimo. Kwa kifupi barabara zote kuu zinazoingia mjini zimeathiriwa na mashimo isipokua ya Kashozi
Unaweza ukanieleza ujenzi Wa stendi unaanza lini maana hata kama barabara hiyo itatengenezwa wingi Wa magari ya kutoka stendi,miundombinu mibaya ya maji toka stendi barabara itaharibika tu baada ya muda mfupi una habari yayote kuhusu stendi
 
Unaweza ukanieleza ujenzi Wa stendi unaanza lini maana hata kama barabara hiyo itatengenezwa wingi Wa magari ya kutoka stendi,miundombinu mibaya ya maji toka stendi barabara itaharibika tu baada ya muda mfupi una habari yayote kuhusu stendi
Wanahitaji kupanua mji
 
Wanahitaji kupanua mji
Mimi naona stendi ikishatolewa hapo na kuelekeza kyakairabwa mji utapanuka tu tena mji umeshaanza kufika hiko kabla stendi haijawekwa pia usafiri ukiwa mzr toka sehemu za mbali kama kisindi,ihungo,kahororo,itahwa na katoma mji utapanuka tu maana baada ya tetemeko na mafuriko watu wanatafuta sehemu salama za kujenga.
 
Back
Top Bottom