Vedasto Prosper
Member
- Jul 30, 2013
- 97
- 37
Kuna Mwanakigamboni katoa maoni yake kwa Mbunge wa Kigamboni, Kasema hivi, "Mh. Dr F. Ndugulile kwanza nakupongeza kwa uchapakazi wako na bidii unazozionyesha ingawa bado kuna changamoto nyingi zinazokukabili hasa wakati huu ambao Kigamboni inaenda kuwa wilaya. Mimi nna mambo mawili matatu bado nayaona kama changamoto kubwa kwako na pia ni kero kuu kwa wakazi na wazawa wa Kigamboni;
1. Utaratibu na Muongozo kuhusu Mradi wa Mji mpya.
2. Shule ya sekondari (high school) ni aibu kwa kigamboni ya leo hakuna sekondari ya form five na six
3. Stendi mpya, hii ni kero kubwa mheshimiwa pale nyumbani ferry sio mbali na stendi hebu siku uende ukajionee hali halisi ilivyo ni aibu yaani magari ni mengi sana na stendi ndogo mno.
Ni hayo tu mheshimiwa sina mengi, ahsante "
1. Utaratibu na Muongozo kuhusu Mradi wa Mji mpya.
2. Shule ya sekondari (high school) ni aibu kwa kigamboni ya leo hakuna sekondari ya form five na six
3. Stendi mpya, hii ni kero kubwa mheshimiwa pale nyumbani ferry sio mbali na stendi hebu siku uende ukajionee hali halisi ilivyo ni aibu yaani magari ni mengi sana na stendi ndogo mno.
Ni hayo tu mheshimiwa sina mengi, ahsante "