NG'HOMELE
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 470
- 147
Nzega ni mji wa kinyamwezi sana, uswahili mwingi kazi sifuri. Haiwezekani mpaka leo hamna shule ya kidato cha tano na sita kwa kisingizio kuwa ni halmashauri mpya ya mji. Wewe afisa habari unazua maswali mengi sana mana hoja zako ni mfu!
Ikumbukwe nzega mji ni mji uliojengwa na mkoloni na sisi kurithi tu, majengo ya Serikali ni mengi na mji umepangika. Jibu ni rahisi tu elimu sio kipaumbele chenu wanyamwezi kwani mnazidiwa hata na wilaya ya igunga ambao wana high school na ikumbukwe wilaya hii ilizaliwa na nzega miaka 1970,s na inaendelea kwa kasi ya ajabu. ushauri wa bure acheni ujanjaujanja jengeni shule sio kutegemea serikali.
Ikumbukwe nzega mji ni mji uliojengwa na mkoloni na sisi kurithi tu, majengo ya Serikali ni mengi na mji umepangika. Jibu ni rahisi tu elimu sio kipaumbele chenu wanyamwezi kwani mnazidiwa hata na wilaya ya igunga ambao wana high school na ikumbukwe wilaya hii ilizaliwa na nzega miaka 1970,s na inaendelea kwa kasi ya ajabu. ushauri wa bure acheni ujanjaujanja jengeni shule sio kutegemea serikali.