Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ya kuomba ushauri ni katika kuhakikisha kwamba siumizi feelings zake na pia mimi nikibakia na mahusiano mazuri nayeFollow your heart as a man, if you have decided to keep a respectable relationship between two of you just do so regardless what she will say or talk about you.
how many strokes you have beaten her until nowWakuu,
Mita mia mbili na hamsini hivi.
Anaishi mjane mmoja katika mazungumzo yetu kaniacha kama 20 years hivi.
Ila ni wale kina mama wanazeeka na uzuri wao.
She is older ila mrembo haswa.
Sass kanonesha interest na huwa nikipita pale kijiweni kwake dalili zipo wazi.
Mtu kama huyu namfanyanje maana kwa kumheshimu naona anaanza kunikashifu maana mara ya mwisho kwa masikio yangu nimemsikia akisema aah huyu mbona hanielewi huyu sijui yukoje.
Sio kwamba simuelewi ila tatizo ni kwamba namheshimu sana kwa age difference.
Kwavile nyota yako ni kupendwa na wajane,mpe upendo wajane wasaidiweWakuu,
Mita mia mbili na hamsini hivi.
Anaishi mjane mmoja katika mazungumzo yetu kaniacha kama 20 years hivi.
Ila ni wale kina mama wanazeeka na uzuri wao.
She is older ila mrembo haswa.
Sass kanonesha interest na huwa nikipita pale kijiweni kwake dalili zipo wazi.
Mtu kama huyu namfanyanje maana kwa kumheshimu naona anaanza kunikashifu maana mara ya mwisho kwa masikio yangu nimemsikia akisema aah huyu mbona hanielewi huyu sijui yukoje.
Sio kwamba simuelewi ila tatizo ni kwamba namheshimu sana kwa age difference.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahsikuizi vipunje vya 2000 vinazoea wamama kirahisi[emoji16]
Mweleze haya uliyo andika katika comment hii kuwa hutaki kumumiiza na unamheshimu sana nia na madhumuni yako ni kuendeleza heshima uliyo nayo kwake.Sababu ya kuomba ushauri ni katika kuhakikisha kwamba siumizi feelings zake na pia mimi nikibakia na mahusiano mazuri naye
But unfortunately bado sijapata ushauri nao uhitaji.
Kumbe huwa tunabishana na mtoto humu? Umri wa Mwanamke kuanza kuzeeka ni kuanzia miaka 50 hivi, ukitoa hiyo miaka 20 aliyokuzidi biala shaka wewe ni MTOTO WA UMRI CHINI YA MIAKA 30.Wakuu,
Mita mia mbili na hamsini hivi.
Anaishi mjane mmoja katika mazungumzo yetu kaniacha kama 20 years hivi.
Ila ni wale kina mama wanazeeka na uzuri wao.
She is older ila mrembo haswa.
Sass kanonesha interest na huwa nikipita pale kijiweni kwake dalili zipo wazi.
Mtu kama huyu namfanyanje maana kwa kumheshimu naona anaanza kunikashifu maana mara ya mwisho kwa masikio yangu nimemsikia akisema aah huyu mbona hanielewi huyu sijui yukoje.
Sio kwamba simuelewi ila tatizo ni kwamba namheshimu sana kwa age differ
Mle bro na umpe furahaWakuu,
Mita mia mbili na hamsini hivi.
Anaishi mjane mmoja katika mazungumzo yetu kaniacha kama 20 years hivi.
Ila ni wale kina mama wanazeeka na uzuri wao.
She is older ila mrembo haswa.
Sass kanonesha interest na huwa nikipita pale kijiweni kwake dalili zipo wazi.
Mtu kama huyu namfanyanje maana kwa kumheshimu naona anaanza kunikashifu maana mara ya mwisho kwa masikio yangu nimemsikia akisema aah huyu mbona hanielewi huyu sijui yukoje.
Sio kwamba simuelewi ila tatizo ni kwamba namheshimu sana kwa age difference.
Ila wapo wanaume wanaoa wanawake wamewazidi hiyo miaka 20 na kitaani ni fresh tuMiaka 20 kakupita huyo ni kama mama yako,mkuu kila ukimpiga pipe atakunyonya mpaka utelezi wa kwenye joint zote,mhimu tafuta pesa kisha vuta wa age yako,