Cryptographer
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 376
- 737
Matokeo yake unaumiza feelings za wana jfSababu ya kuomba ushauri ni katika kuhakikisha kwamba siumizi feelings zake na pia mimi nikibakia na mahusiano mazuri naye
But unfortunately bado sijapata ushauri nao uhitaji.
Wakuu,
Mita mia mbili na hamsini hivi. Anaishi mjane mmoja katika mazungumzo yetu kaniacha kama 20 years hivi.Ila ni wale kina mama wanazeeka na uzuri wao. She is older ila mrembo haswa. Sass kanonesha interest na huwa nikipita pale kijiweni kwake dalili zipo wazi.
Mtu kama huyu namfanyanje maana kwa kumheshimu naona anaanza kunikashifu maana mara ya mwisho kwa masikio yangu nimemsikia akisema aah huyu mbona hanielewi huyu sijui yukoje.
Sio kwamba simuelewi ila tatizo ni kwamba namheshimu sana kwa age difference.
Dissapointment,kuna mawili either mama apotee au tukupoteze wewe!*Kwanini mkuu.
Unajua mmewe alifariki kwa ugonjwa gani?Wakuu,
Mita mia mbili na hamsini hivi. Anaishi mjane mmoja katika mazungumzo yetu kaniacha kama 20 years hivi.
Ila ni wale kina mama wanazeeka na uzuri wao. She is older ila mrembo haswa. Sasa kanonesha interest na huwa nikipita pale kijiweni kwake dalili zipo wazi.
Mtu kama huyu namfanyanje maana kwa kumheshimu naona anaanza kunikashifu maana mara ya mwisho kwa masikio yangu nimemsikia akisema aah huyu mbona hanielewi huyu sijui yukoje.
Sio kwamba simuelewi ila tatizo ni kwamba namheshimu sana kwa age difference.