Mjane aolewa na wanaume watatu kwa pamoja akiwemo shemeji yake

Mjane aolewa na wanaume watatu kwa pamoja akiwemo shemeji yake

Wana Rice cooker , na sahani mbili tatu, Wana Subwoofer ,nguo zimetundikwa ukutan ,unaweza dhan umeingia kwenye kiwanda Cha Ngozi
🤣🤣🤣 mambo ya kusemana yameanza lini jf..
Eti nguo zimetundikwa kama kiwanda cha ngozi daaah we jamaa
 
Nilitegemea nione picha za watu fulani hivi local (waporipori) sana wakiwa ndani ya mavazi ya magome ya miti hivi (kama wale wanaosalimiana kwa kutoa mashuzi), kumbe hao watu wanaonekana ni wajanja kabisa (kutokana na mavazi na muonekano wao) sasa kimewakuta nini?!!!!!!
nafikiri ni maisha yamebana Itakua kama sio upungufu wa akili
 
Back
Top Bottom