Mjane aolewa na wanaume watatu kwa pamoja akiwemo shemeji yake

Wana Rice cooker , na sahani mbili tatu, Wana Subwoofer ,nguo zimetundikwa ukutan ,unaweza dhan umeingia kwenye kiwanda Cha Ngozi
🤣🤣🤣 mambo ya kusemana yameanza lini jf..
Eti nguo zimetundikwa kama kiwanda cha ngozi daaah we jamaa
 
nafikiri ni maisha yamebana Itakua kama sio upungufu wa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…