Nilitegemea nione picha za watu fulani hivi local (waporipori) sana wakiwa ndani ya mavazi ya magome ya miti hivi (kama wale wanaosalimiana kwa kutoa mashuzi), kumbe hao watu wanaonekana ni wajanja kabisa (kutokana na mavazi na muonekano wao) sasa kimewakuta nini?!!!!!!