ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Du serikali ya wanyonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hao watoto ni watu wazima nao wanangángánia nyumba ya serikali sasa wanadhani aliyeteuliwa akakae wapi?Sasa nae alishindwa nini kujenga nyumba yake mpaka jengo la serikali aweke tyles? hicho ni kiranga chake alipe tu
Atakuwa mdogo tu kwa mbwembwe na kelele hizo za mitoto mijitu mizima inayolilia nyumba za serikaliJaji Mkusa Sepetu(1974-2020) hakuwa Jaji Mkuu wa Zanzibar licha ya kuwa aliwahi mara kadhaa kukaimu nafasi ya Jaji Mkuu.
Hadi mauti yanamkuta mwezi february mwaka huu,Jaji Sepetu alikuwa jaji wa Mahakama kuu ya Zanzibar.
Jaji mkuu wa Zanzibar ni Jaji Othman Makungu.
Je aliyefanya uharibifu huu ni Mke mkubwa ama Mdogo Manake Marehemu Jaji Sepetu aliacha Wajane wawili.
hata mimi kanishangaza na mama kasema ohh mimi na watoto tutaenda wapi mitoto mijitu mizima ile hata haya haina looinachekesha km yule mtoto mkubwa kabisa wa kiume analialia eti ooh sie tutaenda wapi,bwege sana hama kwenu wewe katafute kwako
uongo huyo mama atakuwa ama alikuwa akipangisha hiyo nyumba ya NHC AU ATAKUWA ALIJENGA HALAFU KULE ALIKOJENGA AKAWA ANAPANGISHAMtu amefikia vyeo cha ujaji mkuu, hakuweza kujenga miaka yote hiyo?
Eeh ili uone umbea wa uharibifu uliofanyika😂😂Mb 16?
Ndo maana Tanganyika inawateulia viongozi waoSasa anarembaje nyumba ya serikali asiende kujenga yake akairemba? Hayo mapambo angenunua uwanja wake akajenga shida zakujitakia
Kasie Matata is never wrong; nevaaaaa !!!
Jaji Mkuu Ramadhani aliwahi kukalamika baada ya kustaafu miaka kadhaa iliyofuata ulinzi wa serikali uliondolewa nyumbani kwake mpk ikabidi yeye mwenyewe kwa pesa zake mfukoni awe anamlipa mlinzi wa Co. Binafsi.
Kama ni kweli huyo mama basi hajatendewa haki lakini vip kuhusu kuifanyia marekebisho?Sio nyumba ya serikali per se, ni nyumba ya shirika la nyumba la zanzibar kama vile NHC kwa upande wa bara.
Wao walikuwa wapangaji tu inaonekana mkataba ulikuwa kwa jina la marehemu ila wamekuwa wakilipa kodi kama kawaida.
Huu ni unyanyasaji ata bara NHC wakati wa Nehemia kuna watu walianza mtindo huo wakiona kuna nyumba ipo maeneo mazuri na mzazi amefariki kuna watu wanawafuata mameneja wamaeneo husika wanatoa ongo wanafamilia wanaanzishiwa mizengwe kwenye ku renew mkataba au wataongezewa kodi hata kwa zaidi ya 150% in one go unashangaa mtu analipa double ya jirani zake.
Nehemia alikuja stuka baadae naona akapiga mkwara hizo tabia zikapungua hila bado zipo kiasi fulani ni mameneja tu wenye tamaa.
Ndio kilichomkuta huyo mjane sio nyumba ya serikali maalum ya kuweka viongozi ambapo kazi ikiisha unatakiwa umpishe anaekuja ingekuwa ivyo sawa na sidhani kama wangebisha ni nyumba ya kupanga ndio maana akasema kodi wanalipa.
Hii nchi ina watu wenye tamaa, wivu na wenye kutumia nafasi zao kupokonya haki za wengine ni unyanyasaji tu.
Kujenga yataka moyo mzeeMtu amefikia vyeo cha ujaji mkuu, hakuweza kujenga miaka yote hiyo?
Hayo ni mambo ya kawaida NHC/ZHC wanaruhusu wateja kutengeneza nyumba zao jinsi wapendavyo (mikataba yao sio kama private) au hata kufanya extension nje unaruhusiwa kama serikali ya mtaa wakikupa kibali.Kama ni kweli huyo mama basi hajatendewa haki lakini vip kuhusu kuifanyia marekebisho? Lakini inakuwaje mtu ana nafasi kubwa kwenye serikali anashindwa kujenga nyumba za kawaida za kustiri familia yake?...
Nimecheka sana nilikuwa sijamuelewa awali jamaa aliyelalamikia MB 16, sijui Simu yake itakatika vipande[emoji3] [emoji1]Wakuu naomba tujadili suala hili kwa kina.
Huyu mjane alikua anaishi kwenye nyumba ya serekali. Baada ya mumewe kufariki alipewa notisi ya kuhama..