Mjane wa aliyekuwa Jaji wa Zanzibar, Marehemu Mkusa Isack Sepetu anatafutwa baada ya kuharibu nyumba ya shirika la nyumba Zanzibar

Mjane wa aliyekuwa Jaji wa Zanzibar, Marehemu Mkusa Isack Sepetu anatafutwa baada ya kuharibu nyumba ya shirika la nyumba Zanzibar

Nikisema kurithi sio mali ya familia hiyo ni kwamba mnapewa priority by default kuendelea na mkataba. Sio Tanzania tu ipo ivyo duniani kote.
Mkataba wowote wa kupanga duniani kote huji ona kipengele chochote kinachotamka kwamba utaendelea kuwa mpangaji by default mkataba ukiisha!!! Hakipo na hakitakuwepo

mpangaji unatakiwa uusome mkataba uuelewe.USIANGALIE SIJUI TAMKO LA WAZIRI ohh sijui mila na desturi zilizozoeleka !!! soma mkataba wa kupanga unasema nini

Huo mkataba wa kupanga sio wa huyo mama wala sio wa familia.ALIYEINGIA MKATABA NI JUDGE SEPETU full stop.Hao wengine hauwahusu wawe wake wawe watoto.Wakihitaji wanaomba tu kama watu wengine wakikubaliwa sawa wakikataliwa sawa sio nyumba yao ya urithi hiyo.Kwanza hata sina uhakika kama mirathi ilishafunguliwa au bado .Lkini hata kama mirathi ilishafunguliwa hiyo nyumba haimo kwenye vitu vya mirathi kuwa watarithi nyumba ya kupanga ya Jaji Sepetu!!!

Frustration sio sababu ya kuvunja mkataba au kuharibu mali za serikali hasira zake alitakiwa akazimalizie kwingine sio kwenye mali ya serikali.

kama kufiwa wanawake wazanzibari wengi tu mbona wanafiwa yeye sio wa kwanza na mikataba ya nyumba ikiisha hufunga virago au wao kuomba upya kuwa wapangaji ziwe za serikali au za watu binafsi hawafanyi uharibifu kwenye hizo nyumba.

No way adakwe tu na aonyeshwe cha mtema kuni
 
Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza hapa.
kuishi nyumba ya kupanga ya aina yoyote usijisahau maana milki si yako. Watu wanapopata nafasi wajenge hata nyumba ya kawaida tu maana itakustiri wewe au familia yako pindi utakapoondoka duniani kama ilivyotokea kwa Mh. Jaji. Tukumbuke msemo wa wahenga Kimfaacho mtu chake
Uko sahihi .Tatizo baadhi ya hizi famnilia kubwa hudhani maisha yanatakiwa yabaki vile vile mhusika akistaafu au kufariki .Waendelee kuishi maeneo maarufu ya watu wazito yenye hadhi kubwa nk

Tanzania bara viongozi wetu wengi wakubwa wanajielewa na wanalielewa sana hili wengi hawasumbui kabisa isipokuwa wachache

Raisi Nyerere alipostaafu alitimka Dar es salaam akatimkia zake kijijini Butiama kuishi mkoa wa Mara

Raisi Mkapa alikuwa akiishi ikulu Dar es salaam alipostaafu akatimkia zake kijijini Lushoto Tanga

Raisi Kikwete alikuwa akiishi ikulu Dar esa salaam baada ya kustaafu akatimkia zake kijini Msoga Bagamoyo mkoa wa Pwani

Hao ni maraisi wanatimkia vijijini kuwa ya mjini yaishe sembuse huyo mjane na hao watoto wake

Si vizuri kukomaa tu ohh mimi nilikuwa mke wa marehemu jaji so what akifariki wewe sio jaji wala wanao biashara imeshafungwa hiyo
 
Uko sahihi .Tatizo baadhi ya hizi famnilia kubwa hudhani maisha yanatakiwa yabaki vile vile mhusika akistaafu au kufariki .Waendelee kuishi maeneo maarufu ya watu wazito yenye hadhi kubwa nk

Tanzania bara viongozi wetu wengi wakubwa wanajielewa na wanalielewa sana hili wengi hawasumbui kabisa isipokuwa wachache

Raisi Nyerere alipostaafu alitimka Dar es salaam akatimkia zake kijijini Butiama kuishi mkoa wa Mara...
Jaji mpaka anafariki hana hata kibanda cha kujisitiri huwa wanajisahau sana na kota za serikali
 
Mkataba wowote wa kupanga duniani kote huji ona kipengele chochote kinachotamka kwamba utaendelea kuwa mpangaji by default mkataba ukiisha!!! Hakipo na hakitakuwepo

mpangaji unatakiwa uusome mkataba uuelewe.USIANGALIE SIJUI TAMKO LA WAZIRI ohh sijui mila na desturi zilizozoeleka !!! soma mkataba wa kupanga unasema nini

Huo mkataba wa kupanga sio wa huyo mama wala sio wa familia.ALIYEINGIA MKATABA NI JUDGE SEPETU full stop.Hao wengine hauwahusu wawe wake wawe watoto.Wakihitaji wanaomba tu kama watu wengine wakikubaliwa sawa wakikataliwa sawa sio nyumba yao ya urithi hiyo.Kwanza hata sina uhakika kama mirathi ilishafunguliwa au bado .Lkini hata kama mirathi ilishafunguliwa hiyo nyumba haimo kwenye vitu vya mirathi kuwa watarithi nyumba ya kupanga ya Jaji Sepetu!!!

Frustration sio sababu ya kuvunja mkataba au kuharibu mali za serikali hasira zake alitakiwa akazimalizie kwingine sio kwenye mali ya serikali.

kama kufiwa wanawake wazanzibari wengi tu mbona wanafiwa yeye sio wa kwanza na mikataba ya nyumba ikiisha hufunga virago au wao kuomba upya kuwa wapangaji ziwe za serikali au za watu binafsi hawafanyi uharibifu kwenye hizo nyumba.

No way adakwe tu na aonyeshwe cha mtema kuni
2C497C66-A806-4574-8486-5227BFB88017.jpeg


☝ Hiyo ni sehemu ya mkataba wa hapa ninapoishi soma unavyosema nikifa nini kitatokea ni shirika la nyumba la serikali.

Nenda katembelee maeneo ambayo kuna nyumba nyingi za NHC uone wajane waliobaki kwenye nyumba ambazo mikataba waliingia waume zao ni common practice ata Tanzania.

Acha kubisha kutokana na hisia zako deal with the facts.

Good Day
 
View attachment 1501616

☝ Hiyo ni sehemu ya mkataba wa hapa ninapoishi soma unavyosema nikifa nini kitatokea ni shirika la nyumba la serikali.

Nenda katembelee maeneo ambayo kuna nyumba nyingi za NHC uone wajane waliobaki kwenye nyumba ambazo mikataba waliingia waume zao ni common practice ata Tanzania...
-baada ya mapangaji kufariki mkataba unarithiwa na mke(level 1) ,naamini sheria za upangaji ZHC pia kipengele hiki kipo.
-la msingi nini kilichopelekea ZHC kuisitisha mkataba na kumnyima mjane haki ya kuendelaea kupanga miezi michache baada ya kufiwa na mume?
 
-baada ya mapangaji kufariki mkataba unarithiwa na mke(level 1) ,naamini sheria za upangaji ZHC pia kipengele hiki kipo.
-la msingi nini kilichopelekea ZHC kuisitisha mkataba na kumnyima mjane haki ya kuendelaea kupanga miezi michache baada ya kufiwa na mume?


Apparently not kwa mujibu wa ZHC wao wanamtambua mumewe tu. Story kamili hiyo hapo ☝️ you be the judge.
 
Baba yake wema alikua na familia ingine( mama wa kambo wa wema) na ndio alikua mke mkubwa ...hiyo familia ingine ndio marehem Mkusa (anashare baba na wema) alikua mmoja wa watoto .....so mvunja nyumba ni mke wa mkusa ( wifi ya wema)
Kiswahili kinanitesa, Wens Sepetu anaingiaje hapa?? Ninapata taabu Kaka WA Wema halafu mjane. Hey unamaanisha nini au ulitaka kusema huyu ni mjane wa kaka yake Isaac Sepetu aliyekuwa baba yake Wema iwe kwenye mabano Hakika nimetabika kupata manana yako. Sada kisheria amefanya kosa name akipelekwa mahakamani atapatwa name hatia ya uharibifu wa Mali y'all shirika au serikali . Charge hiyo kwa kumuonea huruma other wise atakuwa na kesi ya uvunjaji
 
View attachment 1501616

☝ Hiyo ni sehemu ya mkataba wa hapa ninapoishi soma unavyosema nikifa nini kitatokea ni shirika la nyumba la serikali.

Nenda katembelee maeneo ambayo kuna nyumba nyingi za NHC uone wajane waliobaki kwenye nyumba ambazo mikataba waliingia waume zao ni common practice ata Tanzania.

Acha kubisha kutokana na hisia zako deal with the facts.

Good Day
mkataba mbona uko wazi. Unasema MAY BE INHERITED hausemi SHALL BE INHERITED maana yake sio lazima urithiwe ndio maana limetumika neno MAY na sio SHALL

Ungesema SHALL BE INHERITED ungemaanisha lazima urithiwe na hao waliotajwa

Huo mkataba haukupi haki ya kisheria kuwa lazima urithiwe unasema MAY BE!!! Rudia kuusoma!!! Usije ukapata shida mbeleni
 
inachekesha km yule mtoto mkubwa kabisa wa kiume analialia eti ooh sie tutaenda wapi,bwege sana hama kwenu wewe katafute kwako
Hata mimi nilishangaa kabisa, yule si ni Baba mzima anakuwa na maisha yake? Ndiyo yale matoto yakulelewa kwenye hotpot
 
Atakuwa mdogo tu kwa mbwembwe na kelele hizo za mitoto mijitu mizima inayolilia nyumba za serikali
Anaonekana kabisa ni mdogo [emoji23][emoji23][emoji23] maana ukiiona video anavyoongea nikama kuna mashemela wamemtenga
 
Sio nyumba ya serikali per se, ni nyumba ya shirika la nyumba la zanzibar kama vile NHC kwa upande wa bara.

Wao walikuwa wapangaji tu inaonekana mkataba ulikuwa kwa jina la marehemu ila wamekuwa wakilipa kodi kama kawaida.

Huu ni unyanyasaji ata bara NHC wakati wa Nehemia kuna watu walianza mtindo huo wakiona kuna nyumba ipo maeneo mazuri na mzazi amefariki kuna watu wanawafuata mameneja wamaeneo husika wanatoa ongo wanafamilia wanaanzishiwa mizengwe kwenye ku renew mkataba au wataongezewa kodi hata kwa zaidi ya 150% in one go unashangaa mtu analipa double ya jirani zake.

Nehemia alikuja stuka baadae naona akapiga mkwara hizo tabia zikapungua hila bado zipo kiasi fulani ni mameneja tu wenye tamaa.

Ndio kilichomkuta huyo mjane sio nyumba ya serikali maalum ya kuweka viongozi ambapo kazi ikiisha unatakiwa umpishe anaekuja ingekuwa ivyo sawa na sidhani kama wangebisha ni nyumba ya kupanga ndio maana akasema kodi wanalipa.

Hii nchi ina watu wenye tamaa, wivu na wenye kutumia nafasi zao kupokonya haki za wengine ni unyanyasaji tu.
Sasa huo ukarabati wa nini nyumba ya shirika? Kwanini hizo pesa asijengea yake? Tatizo wengi wakipanga humo wanajisahau, tunaopanga kwa watu zile kashikashi zinatuzibua akili tunajenga hata mabanda na kuishi humo
 
CCM zenji vipi? mbona manyanyaso ..sawa ahame lakini mpeni basi walau mwaka ajipange!!
 
Wakuu naomba tujadili suala hili kwa kina.

Huyu Mjane alikua anaishi kwenye nyumba ya serekali. Baada ya mumewe kufariki alipewa notisi ya kuhama.

Alifanya jitihada kubwa ya kuiomba Serikali imfikirie na imuachie akae katika nyumba hio ambayo inaonekana walitumia gharama kubwa kuiremba na kuitia mapambo ya kila aina. Hata hivyo ombi lake lilitupiliwa mbali.

Kwa hasira na yeye akang'oa kila kitu kuanzia tiles, gypsum, switch za umeme na hata rangi za ukutani.

Hivyo sasa hivi anatafutwa ili awajibike.

Wito wangu kwa serekali, imuonee huruma mjane huyu na si vizuri kuwanyanyasa wajane na mayatima.

Wito wangu kwa Vijana, tukumbuke kujenga makazi yetu kwani hakuna ajuae kesho itakuwaje.
=============

Kabla mke wa aliyekuwa jaji mkuu wa Zanzibar, marehemu Mkusa Isack Sepetu, Salma Mkusa alitoa malalamiko akidai kwamba shirika la nyumba Zanzibar lilimtaka kuhama na kukabidhi funguo za nyumba waliyokuwa wakiishi na marehemu mume wake maeneo ya michenzani block namba 9.

Aliiomba serikali na shirika la nyumba kutafuta utaratibu sahihi na wa haki juu ya hilo. Alisema hakuwa na deni na mume wake hakua nalo. Anadai majungu mengi yalipikwa kwamba nyumba inatakiwa na serikali na ni mtu mkubwa anahitaji nyumba hiyo.


View attachment 1501309
View attachment 1501313
Huyo mtu mkubwa wa serikali mwenye haki kuliko huyo mama nafikiri atarekebisha tu mambo madog madogo hayo kwake...
 
Naam, kama hauna nyumba, basi weka TZS za kutosha benki. Ukiondoka, TZS zinanunua nyumba chapuchapu. Mfanyakazi wa serikali akifariki, nafasi yake inachukuliwa na mwingine. Na huyo mwingine anahitaji nyumba ya serikali. Inaumiza kwa walioachwa lakini ndio utaratibu huo.
Aliyekuwa makamu wa Raisi awamu ya Mkapa (Omar Ali Juma), baada ya kufariki familia yake ilitolewa kwenye nyumba Oysterbay.

Serikali hailei wajane, inawahifadhi watumishi wake tuu. Utumishi ukiisha huduma zinakatwa in exception to President, Jaji mkuu na Spika.

Correct me where erroneously stated.
 
Back
Top Bottom