Mjane wa aliyekuwa Jaji wa Zanzibar, Marehemu Mkusa Isack Sepetu anatafutwa baada ya kuharibu nyumba ya shirika la nyumba Zanzibar

Mjane wa aliyekuwa Jaji wa Zanzibar, Marehemu Mkusa Isack Sepetu anatafutwa baada ya kuharibu nyumba ya shirika la nyumba Zanzibar

Aliyekuwa makamu wa Raisi awamu ya Mkapa (Omar Ali Juma), baada ya kufariki familia yake ilitolewa kwenye nyumba Oysterbay.
Serikali hailei wajane, inawahifadhi watumishi wake tuu. Utumishi ukiisha huduma zinakatwa in exception to President, Jaji mkuu na Spika.

Correct me where erroneously stated.
Aliondolewa kwenye nyumba Rasmi ya makamu wa Rais
Kuna stahili zao viongozi wa juu wanapata kama hakuwahi kujenga anajengewa,kama ilivyokuwa kwa marehemu spika.Adam Sapi Mkwawa
Huyo mjane wa Sepetu alipe tu
 
Alichofanyiwa huyo mjane ni uonevu hata bara huu mchezo ulitaka kukithiri Nehemia akastuliwa wafanyakazi wa chini wakaanza uoga, hila bado upo upo unakuta mtu anapigwa kodi kubwa hatari ukiona ivyo kuna mtu anataka nyumba
Nyumba ya serikali unayopewa kutokana na kazi yako,si nyumba ya kudumu,ukihama kikazi au kufariki familia.lazima ihame
Tofautisha kati.ya nyumba ya serikali uliopewa kutokana.na kazi yako na nyumba ya serikali uliopanga na kulipa kodi
 
Aliyekuwa makamu wa Raisi awamu ya Mkapa (Omar Ali Juma), baada ya kufariki familia yake ilitolewa kwenye nyumba Oysterbay.
Serikali hailei wajane, inawahifadhi watumishi wake tuu. Utumishi ukiisha huduma zinakatwa in exception to President, Jaji mkuu na Spika.

Correct me where erroneously stated.
Na wewe mumeo wako yupo mnakula Bata hapo mikocheni nyumba za mawaziri au ndo nisiingilie maisha yenu[emoji14]
 
Nyumba ya serikali unayopewa kutokana na kazi yako,si nyumba ya kudumu,ukihama kikazi au kufariki familia.lazima ihame
Tofautisha kati.ya nyumba ya serikali uliopewa kutokana.na kazi yako na nyumba ya serikali uliopanga na kulipa kodi
3D151CAA-9869-4C1C-9F63-4B1139B7D057.jpeg


Mtu anakuwekea na picha kabisa ya mkataba ni nyumba ya ZHC lakini bado umekazana nyumba ya serikali kapewa.

Anakwambia wanalipa kodi kama kawaida wala mume wake ajaacha deni; ni vigumu kuelewa anatokea wapi kama ujawahi panga nyumba ya NHC.

Inawezekana kichwa cha habari kimesha influence maudhui yenyewe, swala ni kuvunjiwa mkataba na ZHC sio nyumba kutakiwa na serikali.

Huyo Kigogo anaitaka kitemi kwa kuingia mkataba na ZHC ndio kilichopelekea wao kutolewa; it has nothing to do na serikali ya mapunduzi kumtafutia mtumishi mwingine makazi kama sababu ya wao kutolewa.
 
Umeusoma huo mkataba wenyewe?
Umezaliwa kupenda kubisha tu inaonekana, vitu vingine ni self explanatory.

Maelezo yake yanaashiria amekuwa akitii upande wa contract performance bila ya kuona mkataba.
 
Aliyekuwa makamu wa Raisi awamu ya Mkapa (Omar Ali Juma), baada ya kufariki familia yake ilitolewa kwenye nyumba Oysterbay.
Serikali hailei wajane, inawahifadhi watumishi wake tuu. Utumishi ukiisha huduma zinakatwa in exception to President, Jaji mkuu na Spika.

Correct me where erroneously stated.
Huyu Jaji alioa illiterte, mwanamke ambaye hakwenda shule, otherwise angalitambua kuwa nyumba ya serikali inakaliwa ukiwa mtumishi wake na si vinginevyo! Jaji Mkuu unashindwa kujenga na shahara mkubwa hivyo, marupurupu, na "rushwa"?????? (kwani hawali rushwa kwa kesi kubwa kubwa) zote. Walishindwa kuwa na akili ya kung'amua/thinking kuwa hapa siyo kwetu tujenge angalau nyumba ya kawaida tu, acha maghorofa ya mamiloni!

Na kitendo cha kufanya uharibifu huo kinaonyesha quite a low thinking capacity!
 
Umezaliwa kupenda kubisha tu inaonekana, vitu vingine ni self explanatory.

Maelezo yake yanaashiria amekuwa akitii upande wa contract performance bila ya kuona mkataba.
Ndio maana nimekuuliza umeuona mkataba?wewe unalalia kwwnye maelezo ya mtuhumiwa,mbona.amekimbia kama amekua.akitii upande wa contract.

Hao ZHC si wajinga kumtafuta mtu huku qakijua hawana haki ya kimkataba kufanya hivyo halafu huyo mjane atakua ana stress tu,ameng'oa tiles ameenda kuzibandika wapi!
 
Uvivu wa kujenga unamsumbua. Hana haki yeyote
 
Ndio maana nimekuuliza umeuona mkataba?wewe unalalia kwwnye maelezo ya mtuhumiwa,mbona.amekimbia kama amekua.akitii upande wa contract
Hao ZHC si wajinga kumtafuta mtu huku qakijua hawana haki ya kimkataba kufanya hivyo
Halafu huyo.mjane atakua ana.stress tu,ameng'oa tiles ameenda kuzibandika wapi!
It’s a start walau unatambua sio nyumba iliyo chini ya hazina ambazo watu mntakiwa mpishane kazi inapokoma. Hiyo ni nyumba iliyokodiwa ZHC privately.

Hayo mengine kama nilivyokwambia wewe nimpenda ligi majibu ya maswali ni simple logic tu kwa sababu kuna information gap from the source ambazo wote atujui (habari aina kina).

Having said that kwenye kuziba hiyo gap kilichotokea (based on my understanding from other contracts exchanges) ZHC wamekataa kuwatambua wanafamilia kama wapangaji wapya wanataka nyumba that is the only logical conclusion.

Asubuhi njema.
 
based on my understanding from other contracts exchanges)
Hapo ndipo unapokosea
Na kama ni hivyo huyo mama asingeacha nyumba na kukimbia,angesubiri apelekwe mahaka ya nyumba angeshinda tu,badala yake amefanya uhuni wa kung'oa tiles na vyoo na kubandua rangi ukutani!
 
Mtu amefikia vyeo cha ujaji mkuu, hakuweza kujenga miaka yote hiyo?
Ajabu kubwa, maana alipanda ngazi kidogo kidogo na mshahara na rushwa, marupurupu... hakimu (for over 15 yrs) kuja kuwa Judge (kama sikosei), Judge wa kawaida.. then to a Justice of Appeal.............. up the ladder to CJ...,..,,,////'''';;; bado hujajenga nyumba kwa maisha ya waafrika hasa Tanzania, Zanzibar! !
 
Wakuu naomba tujadili suala hili kwa kina.

Huyu Mjane alikua anaishi kwenye nyumba ya serekali. Baada ya mumewe kufariki alipewa notisi ya kuhama.

Alifanya jitihada kubwa ya kuiomba Serikali imfikirie na imuachie akae katika nyumba hio ambayo inaonekana walitumia gharama kubwa kuiremba na kuitia mapambo ya kila aina. Hata hivyo ombi lake lilitupiliwa mbali...
Huyu ni wa kuwajibishwa. Hakuna sababu za huruma. Kwani wakati yeye na mumewe wanaingia humo aliikuta nyumba ikiwa magofu ?!.
 
... ni mzuri huyo hawamcheleweshi; ataolewa fastaaa! Halafu nasikia wajane na walioachika wana thamani kubwa sana kuliko vibinti.
 
View attachment 1501465

Mtu anakuwekea na picha kabisa ya mkataba ni nyumba ya ZHC lakini bado umekazana nyumba ya serikali kapewa.
Huo mkataba ni kati ya ZHC na marehemu sio NHC na mke !! ukiisha nyumba inarudishwa ZHC kwanza ikisharudishwa ndio uiombe sio ku force .Mwenye nyumba ana haki ya kukataa na kumpa mtu mwingine.Hata kama huyo mwingine anayeitaka asingekuwa kigogo ni haki yake kuitaka sababu muda wa mkataba umeisha.

Na ZHC NI HAKI YAO KUMPA YEYOTE huyo aliyepo kama kaomba au kumtaka huyo aliyepo aondoke apishe mtu mwingine na hawalazimiki kutoa sababu kwa nini utoke muda ukiisha toka au omba upya ukikubaliwa sawa ukikataliwa sawa sio nyumba yako

huwezi force mwenye nyumba kuwa lazima nikae mimi
 
Nyumba ya serikali unayopewa kutokana na kazi yako,si nyumba ya kudumu,ukihama kikazi au kufariki familia.lazima ihame
Tofautisha kati.ya nyumba ya serikali uliopewa kutokana.na kazi yako na nyumba ya serikali uliopanga na kulipa kodi
Muwe mnasikiliza habari vizuri. Ile nyumba sio ya serikali ni ya shirika la nyumba la Zanzibar (ZHC) na Jaji alikuwa mpangaji sasa alipofariki nahisi ZHC walitaka kumpangisha mtu mwingine kwenye hiyo nyumba kwa kuwa Jaji ambaye alikuwa ni mpangaji amefariki.

Siungi mkono alichofanya huyo mama ila nimeelewa hivyo.

Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza hapa.
1. Kwanza kuishi nyumba ya kupanga ya aina yoyote usijisahau maana milki si yako. Watu wanapopata nafasi wajenge hata nyumba ya kawaida tu maana itakustiri wewe au familia yako pindi utakapoondoka duniani kama ilivyotokea kwa Mh. Jaji. Tukumbuke msemo wa wahenga Kimfaacho mtu chake

2. Kuna sheria za mikataba inabidi ziwe wazi na zieleweke. Maana kama mpangaji akifariki na wajane wake wakataka kuendelea kuishi hapo, kuna utaratibu gani wa kufanya? Maana nachojua kama upande mmoja wa mkataba mtu amefariki, ina maana mkataba haupo tena. Hapa nadhani ndio ZHC watakaposhinda

3. Wenye madaraka au uwezo tukumbuke kuna kesho. Tusijisahau na kudhani maisha yatakuwa vilevile. Tujifunze kwenye hili jambo na kupanga maisha yetu vizuri. Wewe unaweza kudhani utabaki na cheo milele kumbe MUNGU nae ana mipango yake. Kuna msemo wa kiingereza unasema "MAKE THINGS HIGH WHEN SUN SHINE" Giza likishaingia usimlaumu mtu ila Usiibe au kuhujumu uchumi
 
Back
Top Bottom