Mjane wa Dkt. Reginald Mengi (Jacqueline Ntuyabaliwe) apata ushindi rufaa ya mirathi

Kwamba Kesi imeisha? Maana hapo nadhani alichoshinda ni kipengele cha Kesi kusikilizwa
Ameshinda pingamizi, kwahiyo sasa maombi yake ya mahakama ya rufaa kupitia hukumu ya mahakama kuu sasa kufanyiwa kazi.

Ila sasa mahakama ya rufaa itakaposema mahakama huu ilitowa hukumu ya haki ndio mwisho wa mchezo na itakula kwake mazima huyo Jackline.
 
Kabi

Kabila la kishamba namba moja hamujiamini jackline atawamaliza kabisa hapo hamjakutana na Mhaya kwa lip mliokuwa nalo Kwa Tz zaidi ya ubaguzi tu na kick elimi za uwizi was mitihani mali za magendo

Mna nn mngekuwa na jiji mbona mnakimbia kwenu
Huyo Jackiline Ntuyabaliwe hili ni jina la Kitanzania?
 
Usia feki ulitaka huyo dada apewe mali zote , ingewezekanaje hilo ?
 
Sidhani maana watu wa kigoma wengi wakimbizi ila itakuwa africast tu hii kesi ni ngumu sana ila ni nyepesi kama ingekuwa wachaga sio wabaguzi
Mtawaonea bure Wachaga, huyu demu alifanya forgery ya kitoto, hakuna wosia wa namna hii kwa Waafrica.

Tamaa imempoza na itakula kwake, Majaji wanapotowa uamuzi huwa wanaangalia sheria na maoni yao binafsi.

 
Jacky awe makini
Mashetani kama huyu Jackline wanapokwenda mahotelin humu kuendeleza ukahaba ndio wakuwamaliza na sumu ya Pollonium.

Mshenzi kabisa huyu mwanamke,na sasa ninaamini yeye ndio amemuuwa Mzee Mengi wakati ameshafoji wosia ili achukuwe mali.

Ningekuwa mimi ni mtoto wa Mengi huyu naye angekuwa ameshazikwa siku nyingi tu.
 
Mkuu unatakiwa uangalie na situation mengi alishaachana na mkewe na walishagawana pamoja na makubaliano ya kugawana kiwango fulani Kwa mwezi fuatilia bado mke anachukua kutoka kweny makampuni kila mwezi

Izo mali ni za watoto wake hao aliozaa na mke wa kwanza na Hawa twince wa mchongo wa jack nielewe ila wachaga walivyo na ubinafsi eti zote ziwe sijui Kwa watoto wakubwa kivip wakati mama yao tu hana chao
 
Inawezekana kabisa
 
Aaa wap huwajui vizur wachaga wale ni mafia Huyo demu awali mahakama kuu alishindwa unafikili huko atatoboa
 
Wanaweza kufanya hivyo ila hofu ni kutokutengeneza mazingira ya kuhisiwa wao
 
Aaa wap huwajui vizur wachaga wale ni mafia Huyo demu awali mahakama kuu alishindwa unafikili huko atatoboa
Hivi hata wewe ndio uwe Jaji utabariki huu ujambazi wa Jackline?

Siamini kama watoto wakubwa wanatenga wadogo zao shida ni ushetani wa huyu kahaba Jackline, hakufuata mapenzi kwa Mzee Mengi bali alifuata mali tu.
 
Jackline alichuma nini na Mengi?
 
hakuna kesi mbaya kama mirathi
 
Papuchi inapoleta shida dakika za mwishoni.... Mahakama ihukumu kwa kuangalia umri wa marehemu vs suala zima la maamuzi kwa watu wa umri huo..

Jack anakesi ya kujibu ya utekaji nyara, kifupi alimteka mzee na kumblackmail maana Mzee kiumri, kiakili + maradhi yake hakuna na uwezo kimaamuzi..
 
Chukulia kwa level ya familia tu!

Mfano mama yenu mzazi afariki halafu mali zote alizochuma na baba yenu mzazi iwe majumba na mabiashara mzee aamue kuzigawa kwa dogo dogo wake eti kisa tu anampaga K vizuri na amemzalia mdogo wenu 😂!

Hapo moto lazma uwake yani af ukiangalia huyo mama mdogo awe hana maelewano na nyie mazuri na kujifanya much know.
 
Katiba mpya iwe na kipengele muhimu kulinda wazee na wastaafu...

"Binti au kijana chini ya 40yrs akiwa na mahusiano na mzee wa kuanzia 60yrs+, Katiba iseme wazi tu hiyo ni dating/marriage at your own risk na incase of death hakuna urithi...."
 
Audax Kahendaguza - wakili wa mlalamikaji.
Jackline Ntuyabaliwe - Mlalamikaji.
Kungekuwa na watu wenye akili ya haraka ya kuchanganuwa mambo kama wewe nadhani maisha yangekuwa rahisi sana.

Umeyaona hayo majina? Kuna Mtanzania hapo? Hivi ndio vitu majaji wanapohukumu wanapaswa kuzingatia na kuviangalia, hili ni genge ka wezi lilojificha kwenye kichaka cha sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…