Mjane wa Dkt. Reginald Mengi (Jacqueline Ntuyabaliwe) apata ushindi rufaa ya mirathi

Mjane wa Dkt. Reginald Mengi (Jacqueline Ntuyabaliwe) apata ushindi rufaa ya mirathi

Wazeee wanapenda papuchiii mbichi msala wakifa wanawaachia watoto kupambna na mama mdogo
naona unaanza kutupa madongo kwa Mzee wa Kilalacha na yule Mzee wa Akudo Impact.... 😉 😉 😉

Miaka 75 kwa 25 ... hapo lazima uwe umeshaandika mirathi ya uhakika kabla ya ndoa vinginevyo utaandika mirathi ukiwa kwenye beseni ukiongeshwa... hapo mke wa ndoa na watoto lazima waambulie vijiko, sahani na suti chakavu.
 
Kushinda mapingamizi sio kushinda kesi kwahiyo usiongope kuwa ameshinda rufaa, ngoma bado mbichi kabisa tena unaweza kumtia nuksi akashindwa rufaa.
 
kama abdieli umo humu chukua hii;

Hivi huyo malaya alosababisha mama yenu aachike kwa mumewe na bado anataka kuwaporeni mali ambazo mama yenu na baba yenu alizichuma, kwanini mnaendelea kumuacha hai?

Hivi ninyi ni wachaga gani wa kupelekeshwa mbele ya mali na chasaka wa kike?

Huyo malaya wa kike muondosheni duniani, hana tofauti na wezi wanaopigwa risasi na kuchomwa moto. Hilo ni dangaji jizi hilo, fala sana hilo.
Aisee, afu niwe Rais nchi hii wachaga wawe salama, labda mungu asinipe hii nafasi, ila nitawaburuza hawatokaa waamini macho yao.
 
Mbekenga una hekima sana. Isitoshe haikuwa kitu rahisi Jack kuvua chupi kumpa uchi wake mzuri hivyo Mzee Mengi na kumdhalia watoto wawili bila kupata urithi. Hata Mungu humpa ampendezaye, Mzee Mengi alipata na kuufaidi uchi wa Jack vilivyo na alipendezwa nao, muache afaidi
Duh.
 
Mimi nadhani hapa siyo tamaa ila mzee alitakiwa ampe Jackie chake mapema. Mali alizochuma na mkewe halali wa ndoa ambaye ndiyo chanzao cha utajiri wake angewaachia watoto wa Mercy. Kumrithisha Jackie mali aliyochuma na Mercy naona si haki. Kwani hakujua kama atatmgulia na kumwacha Jackie? Jackie alichanga karata zake vizuri na kuzicheza ila alikosea kutohakikisha mzee anamuacha pazuri. Hii kugombea mali wakati mzee kafaa haileti afya hata kidogo. Inathibitisha kuwa kweli alikuwa na uchu wa mali na si mapenzi. Actually alianza yeye vita kwa kuproduce mirathi ya ajabu. Hawa wanaretaliate tu.
Walizochuma walishagawana mzee, mbona umedandia gari kwa mbele??
 
Mimi nimelishudia jambo kama hili tofauti ndogo tu, jamaa zangu Baba yao alikuwa Profesa Udsm, akafiwa na mke yani mama yao na washkaji.

Akakaa miaka akaoa dogodogo then maisha yakaendelea na akazaa naye, ikaja Professor akafariki lakini kwenye mirathi mama yao mdogo wamemfanyia fair play kapata mgao mzuri tu wa nyumba kadhaa na VX kaachiwa.

Hapa nilichojifunza mama mdogo aliishi na watoto wakubwa vizuri ndio maana mzee alipokufa wakamjari na wakampa mgao ambao hakuna manung'uniko yoyote mpaka kesho.

Sasa tofauti ya Jack yani anataka kuonesha yeye ndio Sterling wa picha la kivita winner takes all, kwamba utajiri wote wa Mengi aubebe yeye halafu watoto wakubwa wapewe bukubuku tu, yani kale kamalaya kalivyo na roho mbaya hadi cheni za dhahabu kanamindi kaandika arithishwe yeye.
Una ukabila wa kifala sana.
 
We ni kichaa, mwanaume unakuwaje na wivu kwa mwanamke?? Basi ungeolewa ww ukala mti wa mzee.
Kmmmako showger mmoja! Kama unamaindi kuchochwa sema maana nina ugumu kweli wa kupiga washeli!
 
Walizochuma walishagawana mzee, mbona umedandia gari kwa mbele??
Sijadandia. Kwani historia imejieleza. Chanzo cha utajiri wa rginald ni mercy hivyo warithoi halali wa mali za reginald ni watoto wa mercy. Jackie kakuta hiyo mali sasa iweje arithi yeye na akna abdiel waambulie patupu!!! Si haki. Narudia mnaooa wake watoto kuliko nyie hakikisheni mnaacha mambo sawa kabla hamjafa. Muwape urithi wao mapema. Mali uliyochuma na mke wa kwanza lazima iende kwa watoto wako wa mkeo wa ujana wako. Huyu mzee mi naona alijichanganya sana. Kaacha vurugu tu!!!
 
Sema Jack hata akiamua kuachana na mali hizo bado atatoboa maisha tu...kitu bado namba "D" mamilionea fisi hawachezi mbali hakyamungu...
God created women....
 
Mtawaonea bure Wachaga, huyu demu alifanya forgery ya kitoto, hakuna wosia wa namna hii kwa Waafrica.

Tamaa imempoza na itakula kwake, Majaji wanapotowa uamuzi huwa wanaangalia sheria na maoni yao binafsi.

Sioni akipindua hili swala
 
Mashetani kama huyu Jackline wanapokwenda mahotelin humu kuendeleza ukahaba ndio wakuwamaliza na sumu ya Pollonium.

Mshenzi kabisa huyu mwanamke,na sasa ninaamini yeye ndio amemuuwa Mzee Mengi wakati ameshafoji wosia ili achukuwe mali.

Ningekuwa mimi ni mtoto wa Mengi huyu naye angekuwa ameshazikwa siku nyingi tu.
Huyu lazima itafanyika njia asiwepo, maana anataka asivyojua vilipatikanaje
 
Money money money
I bet the old man was months away, if not weeks, from his death bed when this picture was taken. Kitu najiuliza: Why would such a beautiful young woman go to great lengths kuzaa na mzee kama huyu? Why, oh why? It just seems very wrong in every sense.
 
Mzee was a septuagenarian, and ailing health-wise, and most definitely could not have any semblance of an erection to satisfy his beautiful, coveted, super sleek and couth, young wife.
 
Sielewi! Wosia wa Mengi aliandika alipokuwa anaugua au kabla? Kama ni kabla alikuwa na akili timamu, hata kama alipokuwa anaumwa inawezekana huenda bado alikuwa na akili timamu. Waheshimu tu "wosia wa baba"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom