Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,456
- 1,005
Hhahaha anaguswa kweli yaniMsanii jacline ndiye mmliki wa
1. ITV
2.Radio one
3.Maji ya Kilimanjaro
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Aisee, afu niwe Rais nchi hii wachaga wawe salama, labda mungu asinipe hii nafasi, ila nitawaburuza hawatokaa waamini macho yao.
Nani kasema wachaga ni matajiri mbwa wewe? Utajiri huo wanautoa wapi?? Tuwekee hapa list ya matajiri weusi wa Tz afu utuoneshe hao wachaga wako. Now ni bampa to bampa hamtokaa mpate hata dili mbuzi nyie. Nawatamani sana niwafanye kama Hitler au Rwanda Intarahamwe.Endelea kuchunga n’gombe na kubaka mbuzi unazani kuwa Raisi ni jambo jepesi kama mavi machafu ya shangazi yako. Wachaga ni kabila la matajiri, punda mchafu wa kanda ya ziwa wewe.
hao watoto ni wa kutengenezwa laboratoryAlikolea mpaka watoto wawili
hizo mali walizisimamia na kuzikuza hao watoto wakubwa jack mdangaji tu na hawezi shinda hii kesi, na asipoangalia atamfata mzee machache aliyemuuaHao watoto wakubwa na baba wadogo wakati mengi yupo hai waliwahi kuzisogelea hela au wanatumia loophole baada ta mzee kufa.
Binti mzuri alivulie chupi lizee halafu abaki kapuku, hata ulaya walipoendelea haipo hivyo. Mali alizo usia mengi ni za watoto wake wadogo wawili.Hao wakubwa watafute zao kama ni rahisi.
Mkuu unatakiwa uangalie na situation mengi alishaachana na mkewe na walishagawana pamoja na makubaliano ya kugawana kiwango fulani Kwa mwezi fuatilia bado mke anachukua kutoka kweny makampuni kila mwezi
Swali la kiboya Sana mali za mengi na mkewe wa kwanza walishagawana automatically mali za mengi mda ule akiwa na jackline hata wangekaa mwaka mmoja kikubwa watoto wamepata basi watoto wanastaili zile mali pia mke apewe kutunzia watoto make mkubwa hana chake
Punguza uchaga simamia ukweli ulipo unajua mzee kafanya mangapi akiwa na jack najua hujui hata mm sijui usilete mbwembwe🤣🤣
Mimi ni mchaga lakini hili suala wakitumia hasira wataacha zaidi ya 40% ya Mali zao mahakamani. Jack hana hela lakini anaweza kumuweka mwanasheria mzuri on retainer akamwahidi atampa nusu ya kitakachopatikana na wanaandikiana mkataba kabisa. Nimewahi kushuhudia hii kwa tajiri mmoja wa Mbezi beach walimdharau mwanamke hajasoma. Lakini aliwanyoosha japokuwa yeye alikuwa mke wa kwanza wa marehemu na ndiye aliyeanza nae Maisha.
Sheria gani?? Marehemu alikua dini gani kwani, aliishi katika ndoa ya wake wangapi, je wosia unakidhi hitaji la kisheria? kuna vitu vya msingi vya kuzingatia sheria tumezitunga wenyewe lakini zinatupa ukakasi wenyewe na hatuzijui ila tunazishangiliaHiyo hapo ni sheria, sio haki.
Jackline kurithi mali zate za Mengi wakati kaishi nae miaka mitano tu kabla Mengi hajafariki ni sheria inaamua, lkn ukweli sio haki!
Usiwalaumu usikute hakuna anaetaka makubaliano ya amani both sideBaba yenu kaacha mali nyingi sana.
Kwanini msikae na mama yenu mdogo vizuri mmagawana?
mzee wenu alishafanya makosa mkubwa hakosei.
Hao Kaka zenu wadogo ni ndugu zenu wa damu kaeni nao vizuri.
Haya masuala ya kugombea mali mtuachie sisi masikini nyumba moja watoto 7 bado wengine wa nje.
Kiukweli sioni Sababu ya nyie kugombana kisa mali maana zipo za kutosha
kwenye sheria ya mirathi (probate administration act) ,haichukulii mtoto kwa muktaza huo.Siyo watoto. Tafuta tafsiri ya mtoto kwa mujibu wa sheria ya mtoto , mtoto kuna umri wake baada ya kupita ule umri unakuwa taifa linalojitegemea , unatakiwa uwe na mali zako wewe mwenyewe ila sheria inamwangalia under 18 au over 18 aliye bando chini ya uangalizi wa mzazi kama mwanafunzi au asiyejiweza mfano kilema au mwenye utindio wa ubongo
Walizochuma walishagawana mzee, mbona umedandia gari kwa mbele??
kama abdieli umo humu chukua hii;
Hivi huyo malaya alosababisha mama yenu aachike kwa mumewe na bado anataka kuwaporeni mali ambazo mama yenu na baba yenu alizichuma, kwanini mnaendelea kumuacha hai?
Hivi ninyi ni wachaga gani wa kupelekeshwa mbele ya mali na chasaka wa kike?
Huyo malaya wa kike muondosheni duniani, hana tofauti na wezi wanaopigwa risasi na kuchomwa moto. Hilo ni dangaji jizi hilo, fala sana hilo.
Ahsante Masawe na watuacheKama mama yako alivyo na tamaa ya ukibaka
Hawatomuweza huyo jack ni smart kushinda Koo zote za uchagani hao machalii wa Mzee wamegubi kitu kama hujui na hawajielewi jack ni mjanja hao madogo wamekosea timing Sana kukaa mbali na Mzee wao
Kingine hao wanaleta ubaguzi ndo ushamba mkubwa mama yao alishachukua 50% mapema Hana chake wakitaka za mzee hapo lazima wagawane na jack na wale pacha wake wa mchongo