Mjane wa Mrema atoswa, familia yapinga wosia uliachwa na Mrema. Mjane apokonywa nyumba ya Salasala

Mjane wa Mrema atoswa, familia yapinga wosia uliachwa na Mrema. Mjane apokonywa nyumba ya Salasala

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Mjane wa Mrema atoswa, familia yapinga wosia uliachwa na Mrema. Mjane apokonywa nyumba ya Salasala.

Screenshots_2022-08-29-00-25-47.png
 
Mjane wa Mrema atoswa, familia yapinga Wosia uliachwa na Mrema. Mjane apokonywa nyumb ya Salasala

View attachment 2337865
Nawapongeza Watoto wa Marehemu kwani kwa jinsi Baba yao alivyokuwa akiumwa ni wazi kabisa kuwa huyu Mama alijiweka kwa Marehemu akiwa amelenga Mali na Urithi tu na kamwe siyo Upendo na Mapenzi.

Hata hivyo Kibinadamu (siyo kwa nia mbaya) nawaomba Watoto wa Marehemu wakishamaliza Kugawa / Kugawana Mali za Marehemu Baba yao waangalie kitu Kimoja tu cha kumpa huyu Mama na Wasimtose mazima ili Kutomuudhi Marehemu Mzee Wao ambaye alimpenda sana huyu Mama na ndiye aliyemuuguza muda Wote hadi Umauti ulipomkuta.
 
Kama hujui sema bhana, maneno meng ya nn!!!! Mim nlitaka kusema kuwa Kama amezaa nae mtoto atakuwa na half ya kuchukua urith Tena sehem kubwa tu ya Mali,
Wanazuwia mali za mjane lakini hawaja mzuwia Mrema kuoa wakati wa uhai wake. Ama kweli tukifa wajane na watoto wetu wanapitia wakati mgumu sana.
Narejea tena soma comments yangu hii hapa soma maandishi ya kijani. Nimesema tukifa wajane na watoto wetu
 
Raia Mwema limekuwa Gazeti la Udaku? Mbona Kuna Mambo Mengi Muhimu sana ya Kuandika, na Sio Udaku wa Mke wa Mrema???
Pole sana Mjane kwa unayopitia ila amini hili jaribu nalo litapita hata liwe kubwa kuliko mlima wa Everest. Vuta juisi ya baridi ya kienyeji hapo kwa Mangi ushushie taratiiibu tayari nimeshakulipia.
 
Mahakama sasa nayo ifanye mabadiliko ya vifungu vya sheria ya ndoa hawa madada wa mjini wamekua majambazi wa mali za watoto wa marehemu kwa kigezo cha ndoa. Wanatake advantage ya ndoa kupata mali wasizo stahili na kuleta mifarakano kwenye familia za watu kisa wame issue mbususu.

Yan huyu kumpa utelezi mzee kwa miezi miwili mitatu leo anataka mali?? Kaolewa March 24 mzee kafariki August21 madada mmezidi tamaa na uroho. Huu muda anechuma nini na mzee??

Pengine mzee asingeoa angekua hai, dada etu alikua amesha bet mkeka wake anasubiri utiki tuu. Mi nasimama na watoto wa mrema walio simama na baba yako tangu namfahamu anashindana na Mkapa urais 95

Heka heka zote kapambana nchi nzima tukamjua hao watoto na marehem mke wake walikua nae kwenye shida na raha kweli, sio huyo dada alie tumia mbususu yake kimitego. Utelezi wa siku mbili unataka mali? Dada Akapande maua yake huko machame aachane na majasho ya watu watamtoa damu.

IMG_1557.jpg

IMG_1558.jpg
 
Mahakama sasa nayo ifanye mabadiliko ya vifungu vya sheria ya ndoa hawa madada wa mjini wamekua majambazi wa mali za watoto wa marehemu kwa kigezo cha ndoa. Wanatake advantage ya ndoa kupata mali wasizo stahili na kuleta mifarakano kwenye familia za watu kisa wame issue mbususu.

Yan huyu kumpa utelezi mzee kwa miezi miwili mitatu leo anataka mali?? Kaolewa March 24 mzee kafariki August21 madada wa kichaga mmezidi tamaa na uroho. Huu muda anechuma nini na mzee??

Pengine mzee asingeoa angekua hai, dada etu alikua amesha bet mkeka wake anasubiri utiki tuu. Mi nasimama na watoto wa mrema walio simama na baba yako tangu namfahamu anashindana na Mkapa urais 95

Heka heka zote kapambana nchi nzima tukamjua hao watoto na marehem mke wake walikua nae kwenye shida na raha kweli, sio huyo dada alie tumia mbususu yake kimitego. Utelezi wa siku mbili unataka mali?? Dada Akapande maua yake huko machame aachane na majasho ya watu watamtoa damu.View attachment 2337900
View attachment 2337901

Apewe wipes chache ajifutie magoli ya mzee akapambane na ma X wake huko.
 
madada wa kichaga mmezidi tamaa na uroho. Huu muda anechuma nini na mzee??

[emoji115]

Jackline ntabakiwe alikuwa mchaga?
We ni zezeta kichwani

Wachaga lazima mjitetee. Huyu kawawakilisha wenzake, Jaq nae kawawakilisha madada wa mjini na wewe dada wa shinyanga
 
Back
Top Bottom