Mahakama sasa nayo ifanye mabadiliko ya vifungu vya sheria ya ndoa hawa madada wa mjini wamekua majambazi wa mali za watoto wa marehemu kwa kigezo cha ndoa. Wanatake advantage ya ndoa kupata mali wasizo stahili na kuleta mifarakano kwenye familia za watu kisa wame issue mbususu.
Yan huyu kumpa utelezi mzee kwa miezi miwili mitatu leo anataka mali?? Kaolewa March 24 mzee kafariki August21 madada wa kichaga mmezidi tamaa na uroho. Huu muda anechuma nini na mzee??
Pengine mzee asingeoa angekua hai, dada etu alikua amesha bet mkeka wake anasubiri utiki tuu. Mi nasimama na watoto wa mrema walio simama na baba yako tangu namfahamu anashindana na Mkapa urais 95
Heka heka zote kapambana nchi nzima tukamjua hao watoto na marehem mke wake walikua nae kwenye shida na raha kweli, sio huyo dada alie tumia mbususu yake kimitego. Utelezi wa siku mbili unataka mali?? Dada Akapande maua yake huko machame aachane na majasho ya watu watamtoa damu.
View attachment 2337900
View attachment 2337901