inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Unanifahamu wewe na Nani!?..mna genge la kuchambua watu humu!?..hawajui kulima,mazao ya hivyo,hayana afya...Kama upo karibu na afisa ugani muoneshe picha akupe maoni yakeWewe tunakufaham humu mdini, mkanda na mkabila
kutokana na hali ya Mzee ilivyokuwa kuna haja ya review ya huo wosia kwa kweli. Yaani kumpa mtori Marehemu siku mbili tatu unataka nyumba ya mil 500+ aisee hilo suala ni gumu mno.Huko kote Sina ubishi, Sasa kama ni hivyo, siwarahisishe mambo kwa kuanza kutengua maamuzi yake ya kuoa? Kwamba hata ndoa yenyewe ni batili. Baada ya hapo haya mengine yote yatakua Batili pia, kesi inaisha.
Nje ya mada, hivi Rais wa USA wa Sasa na aliyepita Wana umri Gani? Tuangazie na spika wa bunge Peloci pia.
kutokana na hali ya Mzee ilivyokuwa kuna haja ya review ya huo wosia kwa kweli. Yaani kumpa mtori Marehemu siku mbili tatu unataka nyumba ya mil 500+ aisee hilo suala ni gumu mno. Kama ni makochi, TV mashuka yote kila kitu apewe mjane ila Nyumba aiwache kama ilivyo ni mali ya watoto hata kama ni watu wazima hakuna sheria inazuia.
kisheria vipi kaka, yaani uolewe wiki 4, afu unataka ukombe haki za Marehemu alizochuma miaka yote ya uhai wake - kisa tu umemwogesha na kumtunza akiwa mgonjwa...hilo hapana.Sasa wewe unataka kutoka kwenye msingi wa hoja. Hapa tupo kisheria zaidi tukiweka pembeni mambo ya hisia, utu uzima na busara.
kisheria vipi kaka, yaani uolewe wiki 4, afu unataka ukombe haki za Marehemu alizochuma miaka yote ya uhai wake - kisa tu umemwogesha na kumtunza akiwa mgonjwa...hilo hapana.
Babu yangu Mzaa mama alifiwa na bibi yetu (mkewe); sisi wajukuu nikiwemo na mimi nilitaka Babu yetu aoe ili apete wa kumtunza...tulipewa kazi ya kumtafutia mchumba - cha ajabu kila tunayemleta home anasema ana jicho kubwa, kichogo krefu, mfupi - yaani tukachemka kumbe anasongesha muda mbele - hakutaka.
Alivyochoka sana alikuja mama mmoja kuishi naye kwa hiari ili amtunze ila Babu alimwambia kabisa akifa atapewa kitanda na mshuka tu, vingine vyote mali ya watoto, yule bibi akakubali - Baada ya miezi kadhaa babu akafariki dunia.
Siku ya kikao cha familia yule mama akasema hivyo hivyo alivyoambiwa na Babu, Balaza la familia kwa kuheshimu maneno ya Marehemu ambayo hayakuandikwa popote wakamzawadia nyumba hiyo hiyo na mashamba... akawa bibi yetu. (ila condition hawezi kuitoa urithi ama kuiuza)
So wajane jishusheni, utakachopewa na familia ndicho hicho hicho, usianzishe ligi kwenye mali za wenyewe !! Mke huwa ni mke wa Kwanza tu wengine wanaofuata ni vimada tu.
Ila dunia ya leo robo tatu ya binaadam wameshakatika mishipa ya aibu. Inapokuja suala la mali au fedha hakuna aibu tena. Unaona jinsi hata wanasiasa wanavyojishusha hadhi na kujiita ''chawa wa fulani'' ili tu wapate kula. Huko nyumba za ibada ndiyo kabisaa, viongozi wake wameshapagawa na fedha.bi mkubwa anataka nyumba na Prodo la Mzee !! yaho mengine ya kwenu.
Walifurahia kuoa maana walijua atawasaidia mzigo wa kumuhudumia mzee. Hapo ndio unagundua binadamu tunathamini mali tu.Wanazuwia mali za mjane lakini hawaja mzuwia Mrema kuoa wakati wa uhai wake. Ama kweli tukifa wajane na watoto wetu wanapitia wakati mgumu sana.