Tunaoa uzeeni sababu ya kutafuta matunzo, kuna baadhi ya mambo watoto hata kama wanakupenda vipi hawawezi kuyafanya...kwa mfano mwanao wa kike kukuogesha, kukuvalisha nguo nkKuoa uzeeni ni kuleta migogoro kwenye familia
Lakini pic kali inakusaidia vyote na unakufa huku ukitabasamu... cha muhimu tu uwe na cha kumwachia ukishasepa.